Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,323
- 24,192
Sasa hivi jina la Tundu Lissu lina pepea kwenye mmmedia karibu zote kama mvua za masika.
Wengi tulisikitishwa na jaribio la kumaliza maisha yake, na waliotekeleza hilo bado wapo, hawajulikani.
TL amshukuru Mungu kwa kupona na kuweza kuelezea mkasa ule.
Tatizo la Lissu ni mdomo wake, hautulii!
Waswahili husema mdomo uliponza kichwa.
Waliotaka kumwua wapo, na kwa hali yoyote wameshika mpini, Lissu kashika makali.
TL namshauri awe mpole, mdomo utulie maana huko aliko Ulaya ni makazi ya muda tu, wanaomsaidiabila shaka watamchoka.
Na akirudi nyumbani atakutana na marafiki kwa mahasimu wale wale.
Lissu narudia, mdomo uliponza kichwa.
Wengi tulisikitishwa na jaribio la kumaliza maisha yake, na waliotekeleza hilo bado wapo, hawajulikani.
TL amshukuru Mungu kwa kupona na kuweza kuelezea mkasa ule.
Tatizo la Lissu ni mdomo wake, hautulii!
Waswahili husema mdomo uliponza kichwa.
Waliotaka kumwua wapo, na kwa hali yoyote wameshika mpini, Lissu kashika makali.
TL namshauri awe mpole, mdomo utulie maana huko aliko Ulaya ni makazi ya muda tu, wanaomsaidiabila shaka watamchoka.
Na akirudi nyumbani atakutana na marafiki kwa mahasimu wale wale.
Lissu narudia, mdomo uliponza kichwa.