Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,539
- 25,851
Halafu atahojiwa na CNN kabla ya kwenda kuonana na D. Trump. Duh.uko sahihi sana !
Halafu atahojiwa na CNN kabla ya kwenda kuonana na D. Trump. Duh.uko sahihi sana !
mpaka mtage mwaka huuHalafu atahojiwa na CNN kabla ya kwenda kuonana na D. Trump. Duh.
Ha ha ha, anza kumchangia huyo matonya sasa.mpaka mtage mwaka huu
Vipi ile nishani ya Nobel bado Lissu hajaipokea hadi leo?
Nasikia amealikwa pia na Papa huko Vatican.
Duh.Promo ilikuwa, sasa anaongea na watanzania wawili,watatu ghetto za Markekani kuomba msaada.
Atulie , atafakari, dunia bado inzunguka.
Manengelo unanengua kiuno mtandaoni kama feni la kiangazi linalotoa joto.Mwanaume mwoga huwa hafai popofe pale..kafie mbele
😂😂😂😂😂mie nitamchangia ..ngoja acc iletww..afu nikome sina utan na miccm mm..Manengelo unanengua kiuno mtandaoni kama feni la kiangazi linaltoa joto.
Msaidieni mwenzenu kusomesha watoto.
ushauri kuntu.sema kiduku yule hawezi zima domo lile
😅😅😅Kama nilivyo sema mtu primitive kila kitu akitajwa Lissu unadandia! Sii ujiite tu Lissu kama jina umelipenda?
System za serikali zote duniani zipo complicated na zinafanya kazi na hata kuwa na documents ambazo ni siri. Sasa ukijidai kilaza kufikiri serikali ni mtu mmoja au kikundi cha watu 5 unaowajua ndo unaishia kuingia matataniMkuu serikali ni dude kubwa, ila sidhani kama vyombo husika havijui kilichojiri.
Ndio maana ushauri kwa Lissu ni kuwa na akiba ya maneno.