FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,556
[emoji485][emoji485][emoji485]Mwanaume mwoga huwa hafai popofe pale..kafie mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji485][emoji485][emoji485]Mwanaume mwoga huwa hafai popofe pale..kafie mbele
😅😅😅
ushauri kuntu.sema kiduku yule hawezi zima domo lile
😊😊😊😊...alafu hana hatukuwishiana..dah
Kwani mnateseka?Sasa hivi jina la Tundu Lissu lina pepea kwenye mmmedia karibu zote kama mvua za masika.
Wengi tulisikitishwa na jaribio la kumaliza maisha yake, na waliotekeleza hilo bado wapo, hawajulikani.
TL amshukuru Mungu kwa kupona na kuweza kuelezea mkasa ule.
Tatizo la Lissu ni mdomo wake, hautulii!
Waswahili husema mdomo uliponza kichwa.
Waliotaka kumwua wapo, na kwa hali yoyote wameshika mpini, Lissu kashika makali.
TL namshauri awe mpole, mdomo utulie maana huko aliko Ulaya ni makazi ya muda tu, wanaomsaidiabila shaka watamchoka.
Na akirudi nyumbani atakutana na marafiki kwa mahasimu wale wale.
Lissu narudia, mdomo uliponza kichwa.
Nishaandaa fine ujue[emoji855][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]...alafu hana hatukuwishiana..dah
Kama mbwai umenifanyia[emoji26][emoji26][emoji26]na mm nimeandaa fine pia
Consider it done [emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nje ntinti ndani ntinti
Vipi ile nishani ya Nobel bado Lissu hajaipokea hadi leo?Ubaya lazima usemwe ili dunia ielewe na iukomeshe , hii ndio maana Lissu anazidi kuchanja mbuga , hii ndio njia pekee ya halali ya yeye kuwa salama na kuheshimiwa , dunia lazima iambiwe uharamia wa Tanzania ambao miaka yote ulifichwa? .
Shukrani sana Mh Lissu kwa kuitoa matongotongo Dunia kuhusu Tanzania , kwa kuwataja wahusika wa uchafu kwa majina yao yote matatu
Jasiri wa sifa hufa mapema!Mwanaume mwoga huwa hafai popofe pale..kafie mbele
Tunu ya domo inamfedhehesha.Nyie mmejificha kwenye keyboard mwenzenu njaa, baridi vinamtandika mpaka kaanza kuomba. Njaa haina ukamanda. Arudi tu home
jikite kwenye madaVipi ile nishani ya Nobel bado Lissu hajaipokea hadi leo?
✌✌
Nasikia amealikwa pia na Papa huko Vatican.jikite kwenye mada
uko sahihi sana !Nasikia amealikwa pia na Papa huko Vatican.
Sawa Swallo.Mkuu serikali ni dude kubwa, ila sidhani kama vyombo husika havijui kilichojiri.
Ndio maana ushauri kwa Lissu ni kuwa na akiba ya maneno.