Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
1}shule ya pale sio ngumu,ila walimu wako complicated sana,unaweza ukaingia na dv 1.3 ukatoka na GPA ya 2.1,so usiende kubweteka,ukajisahau ukawa hupitii madesa,tenga angalau muda wa masaa manne kila cku kujisomea ili uwe kwenye position nzuri ya kujibu mitihani.
2}hukatazwi kuwa na boy/gal friend,ila nakushauri kuwa nae mmoja anae eleweka na sio kuwapanga ukidhani ni sifa.na vile vile ckushauri kuwa na gal/boy ambae atakua wa kukupa headache kila cku,chagua mtu aliyetulia na anaejiheshmu.
3}kama kuna mambo ambayo hukuwahi kuyafanya ktk maisha yako mfano kwenda night club,usisubutu kuyaiga huko chuo,yatakucost.
4}ukipata bumu,epuka matumizi yasiyokuwa ya lazima,mfano kununua cmu kali as we ni meneja wa kampuni flani,unaweza ukawa na cmu yako ya kawaida 2 kama nokia tochi na maisha yakaenda otherwise jiandae kupiga code 001.
5}jali muda wako uwapo chuoni,sio kutwa ni kudhurura 2 kule mliman city au kwa wale wakaka wao muda wote wamekaa pale nje ya library wanaangalia wasichana wanaoingia na kutoka.
6}kama unaishi mabibo hostels,asubuh ukiwa unaenda chuo panda gari,ila jioni ukiwa unarudi piga shato pori ili kubana matumizi.
Vinginevyo,nawatakieni kila la kheri ktk masomo yenu.
2}hukatazwi kuwa na boy/gal friend,ila nakushauri kuwa nae mmoja anae eleweka na sio kuwapanga ukidhani ni sifa.na vile vile ckushauri kuwa na gal/boy ambae atakua wa kukupa headache kila cku,chagua mtu aliyetulia na anaejiheshmu.
3}kama kuna mambo ambayo hukuwahi kuyafanya ktk maisha yako mfano kwenda night club,usisubutu kuyaiga huko chuo,yatakucost.
4}ukipata bumu,epuka matumizi yasiyokuwa ya lazima,mfano kununua cmu kali as we ni meneja wa kampuni flani,unaweza ukawa na cmu yako ya kawaida 2 kama nokia tochi na maisha yakaenda otherwise jiandae kupiga code 001.
5}jali muda wako uwapo chuoni,sio kutwa ni kudhurura 2 kule mliman city au kwa wale wakaka wao muda wote wamekaa pale nje ya library wanaangalia wasichana wanaoingia na kutoka.
6}kama unaishi mabibo hostels,asubuh ukiwa unaenda chuo panda gari,ila jioni ukiwa unarudi piga shato pori ili kubana matumizi.
Vinginevyo,nawatakieni kila la kheri ktk masomo yenu.