Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Waungwana,

Ninae rafiki yangu ambae anajua mimi napenda sana kusafiri as my hobby. Like a week or so, alinipigia simu kuniomba nipendekeze kwake nchi gani atembelee atakapopata likizo yake ifikapo November mwaka huu. Kwa kweli nashindwa kumshauri kutokana na vigezo vyake hivyo nikaona sio mbaya nikaja nikaomba ushauri humu on his behalf.

Budget yake ni USD 2,500 kwa yeye na mke wake na mtoto wao wa mwaka mmoja.

Alikuwa anataka kwenda Egypt lakini hali ya usalama ya Egypt imemfanya ai-cancel hiyo trip, South Africa ameshawahi kwenda so it's not an option, Morroco could be but it's super expensive. Dubai there is nothing to see ukiacha majengo tu, Oman it's not ideal. South east Asia may be but he is not sure.

Moja ya important factor to consider ni distance because mke wake hataki kupanda flight itakayochkua zaidi ya masaa nane.

Turkey and Jordan were very good options kwake ila tatizo huko kutakuwa na baridi ikifika November na wao wana mtoto mdogo.

Wadau hebu nisaidieni na ambae yupo serious kumtengenezea hiyo itinerary anaweza hata kumpa hela ya soda.

Hizi vitu ni real time consuming na vinahitaji uwe na muda haswa. Vinachosha pia.

Karibuni kwa ushauri wandugu
Yeye Yuko wapi
 
Mie zoezi la kusafiri silipendi kabisa. Ila nikishafika niendako hasa kama ni vacation ni raha tupu na ikifika siku ya kuondoka ninakuwa na hamu ya kuendelea kuwepo. Sijawahi kujutia safari zangu zote.

Mie kusafir kulinishinda jaman..ss hv nasafiri kweli ila nanunaaa
 
Pemba kuna hoteli ya chini ya bahari kuna na msitu mkubwa ambao hauna Wanyama wakali, beach ziko bomba pia na watu wakarimu sana, niliwahi kwenda na sikujutia.
Jamaa hajafika kwenye hiyo hotel lakini ni Mzanzibar na huko pemba kashafika sana
 
Rafiki yako yupo nchi gani? Ili mtu asije sema aende Kenya wakati yupo Kenya. Pia anapendelea vitu vya history,adventures, beach au ....??? Huwezi kupewa sehemu ya kwenda bila ya kusema nini anapendelea kuona hata iwe family vacation lazima kuwe na kivutia flani kitampeleka kule.


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Jamaa yupo hapa hapa TZ, history is his thing. Wanapenda pia beach na modern cities kuona sio mbaya. Kwa mfano mwaka Jana tulikuwa Singapore, Malaysia, Cambodia na Thailand. So you can see what kind of people he is or we are
 
Mie zoezi la kusafiri silipendi kabisa. Ila nikishafika niendako hasa kama ni vacation ni raha tupu na ikifika siku ya kuondoka ninakuwa na hamu ya kuendelea kuwepo. Sijawahi kujutia safari zangu zote.
Hebu recommend one of the destination ambayo hukutumia pesa ndefu sana na pia sio mbali sana (in terms of flight hours)
 
We jamaa mbona ka ni wewe ndio unaomba ushauri unasingizia rafiki yako
Mzee baba huwezi thibitisha ni mimi, kinachokupasa uamini ni mwana until utakapothibitisha ni mimi. Toa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom