luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
Mtu kama huyo unanyamaza usimuulize kitu chochote ,usimuulize baba wa mtoto ni nani, usilala nae tena, kila kitu kaa kimya, aisha lazima aondoke mwenyewe.
Option two ticha atafute mwanamke mwingine.hiyo ndo dawa pekee, aisha akienda mahakamani ticha aiombe mahakama wapime DNA ya mtoto huyo.ishu itakuwa simple sana.
Option two ticha atafute mwanamke mwingine.hiyo ndo dawa pekee, aisha akienda mahakamani ticha aiombe mahakama wapime DNA ya mtoto huyo.ishu itakuwa simple sana.
