Ushauri unahitajika kwa huyu Ticha

Ushauri unahitajika kwa huyu Ticha

Huyu ni teacher konde nn mbona fala fala ivo si aombe hata ruhusa ya kwenda masomoni atokomee uko huku akiwa mbali naye ili aweze sasa kujipanga ikiwa ni pamoja na kuseti uhamisho wa kubadilishana kwa dar hawez kukosa wa kubadilishana nae
 
Huyo teacher ni falaa sanaaa.. Yani Binti ashazaa kabisa bado wazazi wanamlete huo usengeremaaa mwambie aache ufalaa mbona anakuwa kama Hajasoma. MPAKA SASA HAKUNA KESI YANI ANGEKUWA ANA AKILI ANGEFANYA AITOE ENZI ZILE KESI INGEISHIA HAPO...Miaka 15 bado wazazi wanamtishia upuuzi maana wanajua jamaa ni Mjinga na hajitambui
 
Tatizo Aisha mwenyewe anamtesa jamaa kisaikolojia. Ticha kabski na saikolojia ya kuteswa na mke, ya kumtesa mke imekimbia. Natamani nimfundishe nilichofanya mimi. Nipo huru na familia yangu. Maisha yanaenda. Nina kaz moja tuvya kupambana na umaskini, na siyo mke.
Msaidie jamaa aisee, wanaume tunamitihani Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ushamgonga shemejio Aisha?
Mkuu mimi siwezi kuwa moja ya wanaomuongezea machungu ticha tupo nae kwaajili ya kumfariji kwahiyo siwezi fanya tamaa ya hivyo
 
Huyu ni teacher konde nn mbona fala fala ivo si aombe hata ruhusa ya kwenda masomoni atokomee uko huku akiwa mbali naye ili aweze sasa kujipanga ikiwa ni pamoja na kuseti uhamisho wa kubadilishana kwa dar hawez kukosa wa kubadilishana nae
Hili ni wazo zuri mkuu
 
Huyo jamaa mjinga, sasa kuna kesi hapo?
 
Utamu wa show yake nauelewa,
ila hawez autumie Kama silaha, alileta za kuleta namzingua hivyo hivyo.

Kuna kipind huwa anasema wee mwanaume utakua unavuta mibangi, unanibadilikia MDA wowote
Hahahaha alikua anataka akufanye kilaza wake anakuburuta anavyotaka,Bora uligundua Hilo.
 
Hakuna jaji anaweza kusikiza kesi ya kipumbavu kama hiyo eti wanafufua kesi???!HOW??we mzee piga chini hiyo manzi itakuletea mapicha picha ya kiduanzi tu
 
Hap umenena mkuu ila changamoto wakiona matukio yamezidi si watafufua upya kesi au hapo mkuu anaruka vipii.?
Bwana Mwalimu umeshauriwa kwamba uhame kituo chako cha kazi, una matatizo gani lakini? Kwanini huelewi tu? Kuna siku DC atakutupa ndani ndipo akili itakujia.
 
Sasa hapo kuna case gani tena? Ndo maana tasnia ya Ualimu na walimu wenyewe wanadharirika lol,
 
Aache uoga, Case ipo kwa Wazazi sio tena kwa Ticha
 
1. Ahame kituo cha kazi aende porini huko akapumzike.
2. Aishi nae kinafiki asimuulize lolote hata sex asiombe atafute mwanamke mwingine kimyakimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom