Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,416
- 18,443
King Kong III ushauri wako unahitajika hapa
😄😄😄 Coca atatesa sana watu humu ndaniShtukeni shtukeni
Hiyo ni story ya kutunga, coca kajitungia story ili aendeleze kuhype ushoga.
Huyo mtoto furaha yake ni kuona wote mmekua upinde. Hakuna ukweli wowote wa hiyo story
Kama hiyo page inapokea confession za watu kuhusu matatizo ya ndoa, kwa nini coca hajaleta story zingine zaidi ya hiyo yenye ushoga?
Hao jamaa wanapapasana makalio!Afadhali nimekuona mkuu
hii mada sijailewa kabisa
Inahusu nini?
Kilicho sababisha ni comment ni kwa sababu ya urefu wa hili gazette.. Kila nikitaka kuusoma macho yanauma 😁😁,Hey Wajaaaaa!!!
Kuna huyu mwanamke anahitaji ushauri wa maana na ulio bora, pasipo kuathiri chochote.
Ila kwenye Ndoa kuna heka heka jamanii, huwa nasemaga Njia ya muongo ni fupii, na ukweli huwa haujifichi ila unachelewa kuonekana.
Kilichonikwaza ni huyo mume kumleta bwana ake ndani, tena chumbani na kitandani kwa watoto?? Wamekosa hela ya guest au Lodge? Km ni kuogopa usalama wa faragha yao, si wangepanga chumba, kiwe maalumu kwa mambo yao binafsi, mwisho anaishia kuumiza hisia za mwenzake,
Watuu kujikubali na kukubali uhalisia jinsi walivyo hawataki, eti kisa kuridhisha jamii na umma. Mambo ndio hayoo.
MliView attachment 3540965View attachment 3540965oko ndoani semeni na shengesha zenu, mtakuja mpate stroke za ukubwani.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ushauri umetoa, na nikapata wasaa wa kuuliza juu ya ushauri wako, nini mbayaaa????Wewe umeleta uzi wakuomba ushauri,halafu unatupangia chakushauri! Kwahiyo ulitaka tutoe ushauri ambao utakufurahisha wewe tu? Kama ni hivyo,sasa kulikua na maana gani ya wewe kuleta uzi wa kuomba ushauri hapa?
Em jitangaze kivyako, kwani lazima unitumie mie?Ndo ivo mpaka mtu asukumiwe dole ndo idinde ndo walivojizoesha hivo bila hivo haoni raha, hiyo ndo raha yake alonogeshwa na shetani hapo kilichobakia ni kufirwa tuu na akishafirwa kuacha ndo basi Tena anakuwa kama kina cocastic kuliko aache heri mumuue afe, ndo raha yake utamshauri nini?
Nimechekaaa km mwendawazimu vilee.Imagine aiseee alianza kugundua anapenda kuwekwa vidole mda ule wa kuaandana bibie akimnyonya naniiii mwanaume anajichanua kama uyoga halafu anamwambia bby we nifanye chochote huu mwili ni wako 😄
Ila cantry, yaani nihamasishe ushoga kwa kipi? Hii mie nimeikuta huko FB nikaoma niilete hapa, watu watoe maoni.Shtukeni shtukeni
Hiyo ni story ya kutunga, coca kajitungia story ili aendeleze kuhype ushoga.
Huyo mtoto furaha yake ni kuona wote mmekua upinde. Hakuna ukweli wowote wa hiyo story
Kama hiyo page inapokea confession za watu kuhusu matatizo ya ndoa, kwa nini coca hajaleta story zingine zaidi ya hiyo yenye ushoga?
Achukue tu hiyo Anaconda maisha yaendelee.King Kong III ushauri wako unahitajika hapa
Nifanye chochote huu mwili ni wako 😆Nimechekaaa km mwendawazimu vilee.
Eti ninii?? 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwanaume ana balaaa anajichanua kama ua la msimuWoiiiii, huyo mwanaume ni kibokooo, lol
😂😂😂😂😂😂
Amshauri nini tena huku anakunya tu mda woteUkamshauri vipi shost ako