cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,128
- Thread starter
- #41
Mnawaza malezi ya watoto, kwani hapo mwanzo kabla hajajua, walikua wanaleaje watoto??Bwashee kwa kisa hiki,hao wana ndoa hata wakiendelea kuishi pamoja,hakuna tena upendo kati yao wala hawawezi kuja kuaminiana tena,
Suluhisho hapo ilikua ni kuachana tu ili huyo Mumewe aolewe na huyo mume wake ili achimbuliwe kwa uhuru zaidi coz ndio njia aliyoichagua,
Life is very short,hakuna haja ya kujitesa kwa kuendelea kuishi na mtu wa aina hiyo,hasa kwenye malezi ya watoto.
Kwani huwa mnawaza mashoga hawawezi kuwapa malezi bora watoto/wahitajii??