Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,615
- 4,201
Huyo mwanamke nae mnafki tuu, yupo hapo sababu ya pesa aende wapi aache pesa ila ndo ivo Tena kumbe mumewe bwabwa na pengine ndo ajenda zao za kupata utajiriHey Wajaaaaa!!!
Kuna huyu mwanamke anahitaji ushauri wa maana na ulio bora, pasipo kuathiri chochote.
Ila kwenye Ndoa kuna heka heka jamanii, huwa nasemaga Njia ya muongo ni fupii, na ukweli huwa haujifichi ila unachelewa kuonekana.
Kilichonikwaza ni huyo mume kumleta bwana ake ndani, tena chumbani na kitandani kwa watoto?? Wamekosa hela ya guest au Lodge? Km ni kuogopa usalama wa faragha yao, si wangepanga chumba, kiwe maalumu kwa mambo yao binafsi, mwisho anaishia kuumiza hisia za mwenzake,
Watuu kujikubali na kukubali uhalisia jinsi walivyo hawataki, eti kisa kuridhisha jamii na umma. Mambo ndio hayoo.
MliView attachment 3540965View attachment 3540965oko ndoani semeni na shengesha zenu, mtakuja mpate stroke za ukubwani.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hapo Hana ujanja na yeye huyo mwanamke ipo siku watamfira tuu sababu ya tamaa zake, kinachofuata Sasa ni yeye kumsaga mumewe ili apewe anaconda ya pili.