kuna hii chukua mkojo wa asubuhi dondoshea kama matone 2 puani kisha vuta ndan .
Hivi wewe ukipigwa ban utamlaumu nani? Hili sio jukwaa la jokes. Watu wanatibiwa huku kwenye hili jukwaa
Wala sio jokes na mimi nilishajaribu inaachia mafua yaliyobana
MziziMkavu Hiyo habba sauda ni nini yapatikana wapi?