Hii ni dawa ya Asili(dawa ya kienyeji)
Mtoto mchanga kama ana mafua au amevuta maji wakati wa kujifungua hivyo akashindwa kupumua.
Fanya kitu kimoja:
Tafuta kondoo, mshikilie huyo kisha mpandishe mtoto huyo ukiwa umemshikilia mtoto
Kisha mtembeze huyo kondoo kidogo tu huku umeshikilia mtoto akiwa mgongoni mwake
kisha mshushe mtoto acha kondoo aondoke
Baada ya wiki utaona mafua yamepona na hayatokaa yamrudie (mafua yasiyopona)
Mtoto mchanga kama ana mafua au amevuta maji wakati wa kujifungua hivyo akashindwa kupumua.
Fanya kitu kimoja:
Tafuta kondoo, mshikilie huyo kisha mpandishe mtoto huyo ukiwa umemshikilia mtoto
Kisha mtembeze huyo kondoo kidogo tu huku umeshikilia mtoto akiwa mgongoni mwake
kisha mshushe mtoto acha kondoo aondoke
Baada ya wiki utaona mafua yamepona na hayatokaa yamrudie (mafua yasiyopona)