Mafua na kikohozi vimezidi tumia njia hii

mwaega

Senior Member
Sep 22, 2013
188
254
HAPA NI ELIMU YA ASALI TU

Unakuta mtu anaasali nyingi hajui matumizi yake. Niulize chochote kuhusu asali nitakujibu hapa natoa na elimu yake


Dawa ya Asili ya Kikohozi Sugu

VIFAA
1.Kitunguu Swaumu kilicho komaa vizuri
2.Asali mbichi (ya nyuki wadogo ni bora zaidi)
3.Bakuli au kikombe safi

NAMNA YA KUANDAA
Menya punje 3 au 4 za kitunguu swaumu, kata vipande vidogo vidogo (vitwange/vipondeponde) na uchanganye kwenye kikombe kimoja cha asali (ya nyuki wado ambayo ni bora zaidi ila hata ya nyuki wakubwa inafaa)
NB:- uuache mchanganyiko huu kwa usiku mzima.

MATUMIZI
Chukua kijiko kidogo kimoja cha mchanganyiko huu na ulambe mara 2 kwa siku mpaka upone.

NB: Asali ya nyuki wakubwa ni hatari kwa watoto wenye chini ya umri wa miezi 6. Ila asali ya nyuki wadogo inafaa.
Utahitaji asali Origina ambayo imepimwa na kugundua inafaa kwa ajili ya dawa, asali nyingi zimechakachuliwa, sisi tunayo asali safi original ya kienyeji na mahsusi kwa ajili ya dawa.

ASALI YETU IMEPIMWA NA MASHINE BAADA YA KUINUNUA TOKA KWA WAKULIMA. NIKIKUUZIA PIMA NA KIBERITI KWENYE MAJI KWENYE MCHANGA UTAIKUTA SAFI, NA IMECHUJWA VIZURI KWA MASHINE.
ASALI MBICHI YA NYUKI WAKUBWA LITA MOJA NI ... 15,000/=
ASALI MBICHI YA NYUKI WADOGO LITA MOJA NI ................44,000/=
Bei hizo kwa kuwa asali ni GRADE 1, Mbichi na salama, pia mteja nampelekea popote alipo, nyumbani sokoni, kazini popote alipo kwa Dar es salaam. MIKOANI NATUMA KWENYE BUS UNAKWENDA KUPOKEA STENDI
CONTACT
0625 50 43 16
0689 55 44 38.....WHATSAPP

Tuma meseji au piga nitakujibu muda wowote
FB_IMG_1702543989060.jpg
 
Hapa ni elimu ya asali tu

ELIMU YA UUME MFUPI, MWEMBAMBA, ULIOINGIA NDANI KAMA WA MTOTO LEGELEGE,DHAIFU,ULIOATHIRIWA NA PUNYETO AU KISUKARI AU PRESHA N.K UNAOWAHI KUFIKA KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO.

Haya tuendelee na somo, tafadhali usipate uvivu ili uelewe vizuri sana na njia hifi ni salama na za kitaalamu sana.
Unashaka uume wako ni mfupi sana ?
Pengine upo sahihi au haufahamu nini maana ya kuwa na uume mdogo. Kabla ya kujihisi na kuwa na wasiwasi na maumbile ya uume wako tambua kwanza haya.

* Wastani wa uke wa mwanamke ni kati ya cm 10 -12....
*Upana wa uke unatofautiana kwa kuwa umeundwa na tishu zinazovutika...

Haya tuendelee...
Kwahiyo basi wastani wa uume wa mwanaume ni kati ya 12cm hadi 16cm.
Vipimo hivi hufanywa wakati uume umesimama. Inamaana uume ulio chini ya cm 10 upo chini ya makadirio unaweza kusababisha kutofurahia tendo la ndoa kati yako wewe au mwenzi wako. Ingawa umbile la uume linaweza likawa sio kigezo cha kumridhisha mwenzi wako, bali kinachohitajika ni utundu na ufundi kitandani kwako na mwenzi wako. Ingawa utafiti unaonesha wanaume wenye uume mdogo hukosa kujiamini wawapo kitandani. Kama ni muathirika basi twende pamoja tujaribu kutibu tatizo lako.

NB: kama una ugonjwa wa ngiri tambua tatizo lako halitotatuka kwa sababu ngiri ndio chanzo kikubwa cha uume kuwa mdogo. Kwahiyo itakupasa ujipatie dawa kwetu ya ngiri na ya nguvu za kiume pamoja na kibamia

MAHITAJI
1. Juisi ya asali ya kiasili ya nyuki wadogo
2. Mafuta spesho ya kuchua uume (ni mafuta ya kiarabu yaliyochanganywa kwa pamoja hayana madhara)
3. Maji ya vuguvugu
4. Sehemu ya utulivu (Bafuni au chumbani)

NAMNA YA KUFANYA ZOEZI HILI
1. Pasha uume wako na maji ya vuguvugu mpaka uwe na joto ili kutanua misuli ya uume (maji yasiwe ya moto)
2. Paka mafuta kwenye uume wako wote
3. Tengeneza umbile dogo kwa vidole viwili tengeneza kama "O"
4. Kamata na finya uume wako kwa O uliyotengeneza kuanzia kwenye ncha mpaka kwenye kichwa cha uume wako.
5. Huku unaminya na kuvuta kwa mbele uume wako.
Rudia hatua hii mara 5 mpaka 10

NB: Zoezi hili ni la kitaalamu sana halina madhara kwako hata kidogo wala kwenye uume wako.
Juisi ya asali inatibu tatizo ndani (internal) na mafuta yanatibu nje.
Matokeo kuanzia siku 7, na nidozi ya mwezi mzima

KWANINI JUISI YA ASALI NA MAFUTA YA KUCHUA UUME?

Tumia juisi ya asali na mafuta ya kuuchua uume tumetengeneza spesho kwa matatizo yote ya wanaume(nguvu za kiume na uume legelege usioweza kurudia tendo).Sababu ina vitamini nyingi sana mwilini, utajipatia kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili wako na uume wako ujumla.

Unywaji wa Juisi asali na mafuta ya kuchua uume huimarisha na kuboresha mfumo mzima wa uzazi, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume, au matatizo ya kuwahi kumaliza tendo kwa wakati mfupi. Pia ndani ya Juisi ya asali kuna virutubisho vya amino acids ambavyo ni muhimu mwilini kwa watu haswa walio athirika na punyeto.

Ukitumia juisi ya asali namafuta ya kuchua uume , mwili utapata nguvu na kukuondolea uchovu ndani ya nusu saa tu, kwa sababu juisi ya asali ina virutubisho vya sukari asilia kama vile glucosei, sucrose na fructose. Juisi ya Asali ina madini pia aina ya potassium¡ na kiasi kidogo cha chumvi (sodium). Madini haya husaidia uimarishaji wa mishipa ya uume na kuufanya usimame barabara.
Inatibu pia
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

NB: Matokeo huanza kuonekana baada ya wiki 1, maana ni dozi ya mwezi mzima.
Juisi niyakiasili 100% imechanganywa na asali ya nyuki wadogo, mafuta niya kiasili tumeandaa wenyewe hayana chemical yeyote wala madhara ya aina yeyote usalama ni 100%

BEI YAKE

Kuna dozi aina tatu unachagua dozi moja ambayo ni kamili ukubwa wa dawa na bei ndio uwezo mkubwa wa dawa
1. Juisi ya asali ya nyuki wadogo na mafuta ya kuchua uume ni 60,000/=
2. Juisi ya asali mafuta na vidonge vya kiasili (100%) 24 ni 85,000/=
3. Juisi Ya asali mafuta ya kuchua na vidonge 48 vya kiasili 110,000/=
Mafuta yanasaidia kusisimua na kuamsha misuli iliyolala na kusaidia kuondoa ulegelege wa uume na kusimama kwa muda mrefu sana.
MIKOANI.. kila dozi utakayochagua basi ongeza shilingi elfu saba tu.

Utapeli ondoa kichwani 100% kwa sababu ya uaminifu tulionao. Tunataka kufanya kazi miaka mingine mingi.
Kama kunamtu tumemtapeli ajitokeze atoe ushuhudi.
Watu wa mikoani, usijiulize marambilimbili uoga wa kutapeliwa utakapotuma pesa yako, sisi ni waaminifu na mzigo utaupata tu. Kama unandugu Dar au Kibaha tutampelekea yeye atatulipa lakini tunamiaka zaidi ya mitano na kazi hii hatujatapeli

UAMINIFU NDI0 SILAHA NA KAULI MBIU YETU TUAMINI KWA MOYO MMOJA

Namba zetu
0712 58 31 57
0712 58 31 57 whatsapp
piga mara kwa mara inatumika sana kwa Wateja
Tupo kibaha ila Dar, tunakuletea kwenye vituo vyote vya mwendokasi, unasogea mpaka kituoni utakapochagua mteja.View attachment 2842940
 

Attachments

  • FB_IMG_1702543989060.jpg
    FB_IMG_1702543989060.jpg
    26.2 KB · Views: 26
Dawa ya Asili ya Kikohozi Sugu

VIFAA
1.Kitunguu Swaumu kilicho komaa vizuri
2.Asali mbichi (ya nyuki wadogo ni bora zaidi)
3.Bakuli au kikombe safi

NAMNA YA KUANDAA
Menya punje 3 au 4 za kitunguu swaumu, kata vipande vidogo vidogo (vitwange/vipondeponde) na uchanganye kwenye kikombe kimoja cha asali (ya nyuki wado ambayo ni bora zaidi ila hata ya nyuki wakubwa inafaa)
NB:- uuache mchanganyiko huu kwa usiku mzima.

MATUMIZI
Chukua kijiko kidogo kimoja cha mchanganyiko huu na ulambe mara 2 kwa siku mpaka upone.

NB: Asali ya nyuki wakubwa ni hatari kwa watoto wenye chini ya umri wa miezi 6. Ila asali ya nyuki wadogo inafaa.
Utahitaji asali Origina ambayo imepimwa na kugundua inafaa kwa ajili ya dawa, asali nyingi zimechakachuliwa, sisi tunayo asali safi original ya kienyeji na mahsusi kwa ajili ya dawa.

ASALI YETU IMEPIMWA NA MASHINE BAADA YA KUINUNUA TOKA KWA WAKULIMA. NIKIKUUZIA PIMA NA KIBERITI KWENYE MAJI KWENYE MCHANGA UTAIKUTA SAFI, NA IMECHUJWA VIZURI KWA MASHINE.
ASALI MBICHI YA NYUKI WAKUBWA LITA MOJA NI ... 15,000/=
ASALI MBICHI YA NYUKI WADOGO LITA MOJA NI ................44,000/=
Bei hizo kwa kuwa asali ni GRADE 1, Mbichi na salama, pia mteja nampelekea popote alipo, nyumbani sokoni, kazini popote alipo kwa Dar es salaam. MIKOANI NATUMA KWENYE BUS UNAKWENDA KUPOKEA STENDI
CONTACT
0625 50 43 16
0689 55 44 38.....WHATSAPP

Tuma meseji au piga nitakujibu muda wowoteView attachment 2842220
Aisee
 
Ila hamna bhana usiogope, ingekuwepo wangetamgaza bhana
Serikali ina mifumo complex sana huenda kwel Corona ipo na takwimu wanazo lkn wakaamua kukaa kimya kutokana na nature ya uchumi wa watz wengi(hand to mouth) au inaanza taratibu kuzushwa Corona ipo Corona ipo tunaanza kuzika viongozi January, wengine February afu march inatokea kama march 2021

Tusubirie tuone
 
Serikali ina mifumo complex sana huenda kwel Corona ipo na takwimu wanazo lkn wakaamua kukaa kimya kutokana na nature ya uchumi wa watz wengi(hand to mouth) au inaanza taratibu kuzushwa Corona ipo Corona ipo tunaanza kuzika viongozi January, wengine February afu march inatokea kama march 2021

Tusubirie tuone
Mmnh 🤔🤔
 
Kwa watoto wadogo

Asali ni dawa ya kufubaza kikohozi na mafua na tiba rahisi ambayo inaweza kutibu kikohozi na kuvimba koo. Chukua chupa ya kulisha mtoto na jaza nusu yake na maji ya uvuguvugu. Weka nusu kijiko cha asali, tingisha mpaka ichanganyike na maji kisha mpe mtoto anywe. Asali haipendekezwi kwa watoto walio chini ya mwaka mmoja kwani inaweza kuwa na chembechembe za botulinum ambazo zinaweza kuwa hatari. Kumpa mtoto asali mara mbili kwa siku kunaweza kusaidia kupunguza mafua makali na kukata kikohozi bila hata kwenda duka la dawa.
IMG-20231209-WA0004.jpg
FB_IMG_1698543063486.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom