HAPA NI ELIMU YA ASALI TU
Unakuta mtu anaasali nyingi hajui matumizi yake. Niulize chochote kuhusu asali nitakujibu hapa natoa na elimu yake
Dawa ya Asili ya Kikohozi Sugu
VIFAA
1.Kitunguu Swaumu kilicho komaa vizuri
2.Asali mbichi (ya nyuki wadogo ni bora zaidi)
3.Bakuli au kikombe safi
NAMNA YA KUANDAA
Menya punje 3 au 4 za kitunguu swaumu, kata vipande vidogo vidogo (vitwange/vipondeponde) na uchanganye kwenye kikombe kimoja cha asali (ya nyuki wado ambayo ni bora zaidi ila hata ya nyuki wakubwa inafaa)
NB:- uuache mchanganyiko huu kwa usiku mzima.
MATUMIZI
Chukua kijiko kidogo kimoja cha mchanganyiko huu na ulambe mara 2 kwa siku mpaka upone.
NB: Asali ya nyuki wakubwa ni hatari kwa watoto wenye chini ya umri wa miezi 6. Ila asali ya nyuki wadogo inafaa.
Utahitaji asali Origina ambayo imepimwa na kugundua inafaa kwa ajili ya dawa, asali nyingi zimechakachuliwa, sisi tunayo asali safi original ya kienyeji na mahsusi kwa ajili ya dawa.
ASALI YETU IMEPIMWA NA MASHINE BAADA YA KUINUNUA TOKA KWA WAKULIMA. NIKIKUUZIA PIMA NA KIBERITI KWENYE MAJI KWENYE MCHANGA UTAIKUTA SAFI, NA IMECHUJWA VIZURI KWA MASHINE.
ASALI MBICHI YA NYUKI WAKUBWA LITA MOJA NI ... 15,000/=
ASALI MBICHI YA NYUKI WADOGO LITA MOJA NI ................44,000/=
Bei hizo kwa kuwa asali ni GRADE 1, Mbichi na salama, pia mteja nampelekea popote alipo, nyumbani sokoni, kazini popote alipo kwa Dar es salaam. MIKOANI NATUMA KWENYE BUS UNAKWENDA KUPOKEA STENDI
CONTACT
0625 50 43 16
0689 55 44 38.....WHATSAPP
Tuma meseji au piga nitakujibu muda wowote
Unakuta mtu anaasali nyingi hajui matumizi yake. Niulize chochote kuhusu asali nitakujibu hapa natoa na elimu yake
Dawa ya Asili ya Kikohozi Sugu
VIFAA
1.Kitunguu Swaumu kilicho komaa vizuri
2.Asali mbichi (ya nyuki wadogo ni bora zaidi)
3.Bakuli au kikombe safi
NAMNA YA KUANDAA
Menya punje 3 au 4 za kitunguu swaumu, kata vipande vidogo vidogo (vitwange/vipondeponde) na uchanganye kwenye kikombe kimoja cha asali (ya nyuki wado ambayo ni bora zaidi ila hata ya nyuki wakubwa inafaa)
NB:- uuache mchanganyiko huu kwa usiku mzima.
MATUMIZI
Chukua kijiko kidogo kimoja cha mchanganyiko huu na ulambe mara 2 kwa siku mpaka upone.
NB: Asali ya nyuki wakubwa ni hatari kwa watoto wenye chini ya umri wa miezi 6. Ila asali ya nyuki wadogo inafaa.
Utahitaji asali Origina ambayo imepimwa na kugundua inafaa kwa ajili ya dawa, asali nyingi zimechakachuliwa, sisi tunayo asali safi original ya kienyeji na mahsusi kwa ajili ya dawa.
ASALI YETU IMEPIMWA NA MASHINE BAADA YA KUINUNUA TOKA KWA WAKULIMA. NIKIKUUZIA PIMA NA KIBERITI KWENYE MAJI KWENYE MCHANGA UTAIKUTA SAFI, NA IMECHUJWA VIZURI KWA MASHINE.
ASALI MBICHI YA NYUKI WAKUBWA LITA MOJA NI ... 15,000/=
ASALI MBICHI YA NYUKI WADOGO LITA MOJA NI ................44,000/=
Bei hizo kwa kuwa asali ni GRADE 1, Mbichi na salama, pia mteja nampelekea popote alipo, nyumbani sokoni, kazini popote alipo kwa Dar es salaam. MIKOANI NATUMA KWENYE BUS UNAKWENDA KUPOKEA STENDI
CONTACT
0625 50 43 16
0689 55 44 38.....WHATSAPP
Tuma meseji au piga nitakujibu muda wowote