Mr possibility
Senior Member
- Mar 19, 2020
- 175
- 134
Moja kwa moja kwenye mada
Wakuu mimi kwa sasa niko singular so huwa nawaza kutafuta mamiloo wa kunipa kampani ila naghairi kwa kuanza kuwaza kuwa "acha nitafute kwanza hela"
Mawazo hayo ni kwa kuhisi kuwa ikiwa sitakuwa na hela ya kutosha mahusiano yanaweza kuleta shida na vitu namna hiyo
Nb mimi sio domozege
Nawasilisha
Wakuu mimi kwa sasa niko singular so huwa nawaza kutafuta mamiloo wa kunipa kampani ila naghairi kwa kuanza kuwaza kuwa "acha nitafute kwanza hela"
Mawazo hayo ni kwa kuhisi kuwa ikiwa sitakuwa na hela ya kutosha mahusiano yanaweza kuleta shida na vitu namna hiyo
Nb mimi sio domozege
Nawasilisha