USHAURI: Simuelewi mume wangu

Dawa yako ni mimi
 
Sasa wewe liachie lomwili liwakake tamaa tu utaipata fresh😂
Hapana sio kwamba usizuie tamaa. Lkn mgegedano ni muhimu kwa afya...unafanya na mmoja kwa raha zenu hakuna tatizo.
Na lengo hasa la ndoa ni kugegedana...sasa unioe hlf usinipe haki yangu unategemea nini?
 
Nashukuru nimependa ushauri wako nahisi hii njia ndoitatatua hili tatizo coz ni mtu mwenye wivu sana na mm najua nikijikausha lazma ajiulize huyu mtu vipi au ndokashapata mtu uko anamridhisha
 
Ohooop ! Something is wrong hapooo!!
Anyways.. Bila shaka Ushapata mwongozo!
 
Kama mumeo anabet, basi chanzo cha hilo tatizo ni betting, huo mchezo ukiliwa unapoteza sana mzuka wa kugegeda mbususu akina Chen Hu @ROOT Mac Alpho vanus leteni experience hapa
 
Dada una chura? Au mume wako alikuoa kwasababu alihisi wewe ni wife material/aina ya mwanamke ambaye angeweza kumpata, na sio kwamba alikuona mzuri miss chuga
Nisiwe tu muongo chura Sina wachaga na chura wap na wapi Ila Kama ni uzuri nimejaliwa mtoto white, lips Kama za wema sepetu na vihips vya uchokoz chura tu ndonimekosa kwakweli
 
Ha haaaaaaaaa jeans tena
 
Nilichogundua unapenda sana Motto, Kama sio ushachepukaga na akajua asikwambie ndo ikawa chanzo cha yeye kukata stim au kuamua kukususia Basi utachepuka hivi karibuni maana unavyoililia kama Ugali...

Safiri nenda hata kwenu kasalimie Mwez pengine ukirudi ataiona ya AJAB.
 
Duuu...nije na fire extinguisher langu?
 
Kuhusu nyege zangu inabidi tu sasa Mungu aingilie Kati afanye njia pasipokuwa na njia maana nyege ni kitu kingne zikikupanda alafu ukikosa wa kukutoa unaeza jikuta unagombana na kila mtu
Mhhh ni hatari jamani lakini salama karibu.
 
Una undugu na Mama Maria Nyerere? Umeandika kwa busara sana aisee
 
Mpe vyakula vya kumtia nyege jioni jioni ili akukaze usiku.
Ukiona haelewi jipige hata fingers hapo mbele yake ndo ashtuke kwamba kumbe una manyege tele.
 
Kama tendo hakuna ina maana hakuna ndoa hapo. Fanya utu uzima wa kumjenga kisaikolojia... acha kumuuliza maswali. Fanya kama kupiga stori mbalimbali za watu waliowahi kuchapiwa... anza na hii stori ya Masanja & katibu. Hizo stori zitamshtua
 
Yaan mmeo ni mimi kabisa.Mimi kama mkewangu asipo nianza imetoka hiyo
 
Mumeo ni shabiki wa Manchester United? kama jibu ni ndio basi mvumilie kwanza atakaa sawa tu.
 
Pole kwa changamoto unayopitia!! Swali langu ni kama ifuatavyo??
Siku akikubali kufanya mapenzi na wewe perfomance yake inakuaje ukilingnisha na hapo nyuma??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…