Haujajua wanawake vizuri
Muache mkeo kaoe huo mchepuko
Wanaume mna maudhi sana ndani ya nyumba na huwa mnaona mpo sahihi
Wengi weny hamna mawasiliano mazuri na wake zenu,
Inafika mahali mke anachoka anakaa tu kama picha anapoteza hamu na wewe (hapo ndiyo unakosa sex)
Anaishi kwa mazoea, ukiulizwa last time umefanya pillow talk ama kutoka kwa matembezi na mkeo haukumbuki
Unamuweka kama kabati ndani ya nyumba
Kwa mchepuko unapiga simu babe twende tukapate lunch sehemu fulani...atakosaje nyege
Akiomba hela on spot inaingia...
Kwa mke unadai hali ngumu

obvious mke anamute na anakuumiza pale anapoweza
Sent using
Jamii Forums mobile app