Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Mkuu unafikiri dada yako alienda kwa shemeji yako kula? au kulala? unapaswa ujiulize wewe upo apo kwa ajili gani?

Shemeji anatumia busara kukuambia ujitegemee...

Akufukuzaye hakwambii toka (sijui muhenga wa wapi aliyesema hivi)
 
huu uzi ni wa kutunga kabisa, ila nnachojiuliza unawezaje kutunga kitu kama hiki kuhusu dada ako? no wonder matukio ya ndugu kubakana yamezidi
 
Huwa anamchezea tako ili lilainike halafu usiku anaenda kulipasua n bila shaka ukiingia chumbani kwake utaikuta baby care/ ky acha dada yakovapasuliwe tu ndo kilichompeleka hicho n kwa taarifa yako Dada yako ana-enjoy sana
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Kwa iyo hutak ale Karanga wala pweza? Nyie mlivyokubali kupokea laki NNE mlizan Dada yenu anaenda kupanda maua? Iyo kazi uliyo ona shem wako anakula pweza na baadae Karanga ndo iliyomtoa dadako kwenu!!!!!! ivyo tulia dadako afanye klicho mleta.
 
Ukweli wa hii story ni 0.0001%.

Ila kwa upande mungine muandishi amesaidia kuleta funzo kwa watu wanao endelea kuishi kwa shemeji zao bila sababu za msingi.
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Kwahiyo akinywa supu ya pweza sijui karanga ww nn kinauma hapo na hayo yanauhusiano na mahari ndogo sehemu anakosea nikumshika sehemu zusizostahili mbele yako hapo tu anakosea kwingine sijaona kosa lake ushauri wangu mchane tu aache uzungu
 
badilisha kwanza hyo ID yako,huwezi kujiita worldboss wakati unaish kwa fadhila za shemeji
 
Naona unamuonea wivu dada yako anavyofaidi dushe, siku si nyingi na wewe utaomba.
 
Hahahahahahshshshshshsjsjajahjahaahaajahahahahaaaaaa.. kachoka wewe kulala sebuleni... jiongeze
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu

kwanza how old r u aisee?huna hata aibu?
 
Back
Top Bottom