George johnson
Senior Member
- Oct 3, 2017
- 107
- 82
Mtafute Dada yake ,na we umshike bas
[emoji38] [emoji38] [emoji16]maamuzi magumu nayoshauri uyachukue ni kuondoka fasta nyumbani kwa shemeji yako na uwaache wapeane raha zao mkuu, dada yako ulitaka umshike matako wewe!? we mboba habiba mtoto wakichaga unataka akupe penzi umshike tako!? we unadhani hana kaka!?
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Mdogo angu umekuja kunianika huku sasafanya ukakusanye kila kilicho chako usepe na nishaongea na mama watakupokea kesho babati nauli natuma tigo pesa .[emoji16]
Bas pambana upate mchongo uhame hapo,usiwabane bane,hao ni mwili mmoja..Kweli mkuu
Mkuu unanitia uchungu
Sawa mkuu endelea kutulisha matango pori tu hii ndo jei efuu bwanaa[emoji23][emoji23]View attachment 873012
Una danlod kwenye cm yako tu mkuuJamii forum ina mambo sana aisee. Nimecheka vibaya mno
Imebidi nitafute emoji za kucheka hata czioni kwenye hii updated version ya jf
Ila jf bhana inafurahisha
Afu Mkuu nielekeze namna ya kupata hizo emoji kwenye hii version mpya