Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,089
- 13,308
Me ndo maana sina dada,nadhani asingeolewa,maana nna wivu hatari!Waswahili walisema akufukuzae hakwambii toka.
Shemeji yako hakutaki hapo,hama haraka sana kabla hujamkuta siku anamkula dadako kwenye kiti.
Narudia tena hama