Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Huo ni usenge kabisa Hama iyo nyumba unawaharibia starehe zao suala la mahari kwani alikuwa bidhaa mngekataa kama Mali ndogo ili muoe wenyewe . Waache kujiachia kwasababu yako. Kama umeshindwa maisha ya kijijini Rudi kwenu babati .ukishajipanga utarudi kuishi mjini
 
Ungemuonea wivu dadako??[emoji15][emoji15][emoji15]
Ndio ningemuonea wivu lijamaa linafaidi bure tu
Enzi hizo wakati naanza chuo mkoa fulani ikabidi nifikie kwa mama mdogo(kaolewa),sasa baada ya kupata akili kwamba kwa shemeji sio pazuri,nkakata mguu akaanza kulalamika mbona huji nyumbani jamani mpaka leo hii ni miaka na miaka imepita sijaenda tena!
 
Aiseh!
Sipati picha ukipata mtoto wa kike,si utazuia asiolewe kabisa
Ndio ningemuonea wivu lijamaa linafaidi bure tu
Enzi hizo wakati naanza chuo mkoa fulani ikabidi nifikie kwa mama mdogo(kaolewa),sasa baada ya kupata akili kwamba kwa shemeji sio pazuri,nkakata mguu akaanza kulalamika mbona huji nyumbani jamani mpaka leo hii ni miaka na miaka imepita sijaenda tena!
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Muda ukifika ataanza kukushika wewe. Mwachie tu uone atafanya nini
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Mkuu umesharudi Pentagon? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom