dah pole sana usiwe unakaa wakiwa karibu sasa huyo shem wako anakufanyia kusudi.hapana, tatizo ananioshea alafu Mimi roho inaniuma
Mkuu mbona unanizidishia machunguHahaaa eti unakaa kwake mwaka wa pili alafu bado unalalamika alilipa mahali kidogo bila kujua kama mahali nyingine ndo ww umekula miaka miwili yote ukiwa kwake, shenzi kabisa unafikiri shemeji yako kakuoa ww na dada yako, alafu swala la dada yako kushikwa tako mbele yako tambua ndo starehe ya dada yako kushikwa tako la sivyo hata angelalamika pumbafuuuuu
Hahaaa pole sana ndo ya dunia hayo yataishaMkuu mbona unanizidishia machungu
Uchukue maamuzi magumu dhidi ya shemeji yako, huyo wakati anakwenda kuchakarika mtaani kutafuta money wewe umeinua miguu juu ukiangalia tamthilia kwenye TV? Maamuzi magumu ni wewe kutoka hapo na kwenda kwako na si vinginevyo. Wake up and smell the coffee, dude!Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Huyu hana sifa tena za kuwa wa mkoani, ni ashakuwa war DARHivi nyinyi wavulana wa mikoani mbona mnatuaibisha sana.
Habari wana JF
Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.
Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.
Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.
Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.
Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.
Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu