USHAURI: Serikali unganisheni BRELA, TIC, EPZA, TANTRADE kwa maendeleo ya Taifa

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
893
707
Salaam

Dunia inapambana kutatua vikwazo vya biashara,uwekezaji na mitaji..Hapa kwetu kumekuwa na jitihada nyingi Za kukuza uchumi kupitia mikakati mbalimbali ya kuwezesha wafanya biashara na wenye viwanda sambamba na kuvutia uwekezaji.

Tatizo Kwa maoni yangu ni wingi wa taasisi zinazofanya majukumu yanayoshabihiana Kwa namna moja au nyingine.

Mathalani tuna Tanzania Investment Centre (TIC),Tanzania Trade Authority (TANTRADE),Export Processing Zone Authority (EPZA) na pia Business Registration and Licencing Agency (BRELA)..

Ukifanya upembuzi wa kina ni wazi majukumu na utendaji wa hizi taasisi unafanana na kuingiliana hivyo kuongeza urasimu usio na lazima.Lakini pia Kwa serikali yetu ambayo bado inapambana kutatua kero lukuki zihusuzo umaskini kwake ni gharama kubwa kuruhusu uwepo wa taasisi hizi.

Nini kifanyike,Nadhani kungeundwa taasisi moja yenye kusimamia majukumu yote ya Hizi taasisi Kwa kuweka Idara Za kimkakati (Biashara,Viwanda,Uwekezaji,Ujasiliamali)..

Faida ni nyingi na pana hasa kuondoa urasimu na mwingiliano wa majukumu.

Shukrani
 
Hapo taasisi sumbufu ni BRELA kusajiri kampuni yaweza kukuchukua miezi kadhaa, ukipiga simu kwa wiki unaweza kupokelewa mara moja na hapo uwe umetenga siku nzima ya kupiga simu BRELA
 
Hao Brela ni wasumbufu kupindukia
Ukiwa na shida watatumia hadi miezi minne to respond your enquiry.

Brela ni tatizo,
I do remember kuna kampuni mbili zilitaka kushirikiana kwenye biashara fulan.
Kampuni ya Directors watanzania na hii nyingine ya wazungu.Sasa kulikuwa na shida kwenye access ya ORS kwa hii ya wabongo.

Tuma email tufanye kuwapa access ndio maelekezo ya brela, ilichukua muda mrefu mpaka dili ya ushirikiano ikafeli kisa wazungu hawakuiamin tena kampuni ya wabongo

Brela ni kero, ni uzandikj, ni bora enzi za nyerere
 
Salaam

Dunia inapambana kutatua vikwazo vya biashara,uwekezaji na mitaji..Hapa kwetu kumekuwa na jitihada nyingi Za kukuza uchumi kupitia mikakati mbalimbali ya kuwezesha wafanya biashara na wenye viwanda sambamba na kuvutia uwekezaji.

Tatizo Kwa maoni yangu ni wingi wa taasisi zinazofanya majukumu yanayoshabihiana Kwa namna moja au nyingine.

Mathalani tuna Tanzania Investment Centre (TIC),Tanzania Trade Authority (TANTRADE),Export Processing Zone Authority (EPZA) na pia Business Registration and Licencing Agency (BRELA)..

Ukifanya upembuzi wa kina ni wazi majukumu na utendaji wa hizi taasisi unafanana na kuingiliana hivyo kuongeza urasimu usio na lazima.Lakini pia Kwa serikali yetu ambayo bado inapambana kutatua kero lukuki zihusuzo umaskini kwake ni gharama kubwa kuruhusu uwepo wa taasisi hizi.

Nini kifanyike,Nadhani kungeundwa taasisi moja yenye kusimamia majukumu yote ya Hizi taasisi Kwa kuweka Idara Za kimkakati (Biashara,Viwanda,Uwekezaji,Ujasiliamali)..

Faida ni nyingi na pana hasa kuondoa urasimu na mwingiliano wa majukumu.

Shukrani
kwa kweli uko sahihi kabisa.kwa kufanya vile kunaondolea adha wanazopata wawekezaji wetu hapa nchini.
 
Salaam

Dunia inapambana kutatua vikwazo vya biashara,uwekezaji na mitaji..Hapa kwetu kumekuwa na jitihada nyingi Za kukuza uchumi kupitia mikakati mbalimbali ya kuwezesha wafanya biashara na wenye viwanda sambamba na kuvutia uwekezaji.

Tatizo Kwa maoni yangu ni wingi wa taasisi zinazofanya majukumu yanayoshabihiana Kwa namna moja au nyingine.

Mathalani tuna Tanzania Investment Centre (TIC),Tanzania Trade Authority (TANTRADE),Export Processing Zone Authority (EPZA) na pia Business Registration and Licencing Agency (BRELA)..

Ukifanya upembuzi wa kina ni wazi majukumu na utendaji wa hizi taasisi unafanana na kuingiliana hivyo kuongeza urasimu usio na lazima.Lakini pia Kwa serikali yetu ambayo bado inapambana kutatua kero lukuki zihusuzo umaskini kwake ni gharama kubwa kuruhusu uwepo wa taasisi hizi.

Nini kifanyike,Nadhani kungeundwa taasisi moja yenye kusimamia majukumu yote ya Hizi taasisi Kwa kuweka Idara Za kimkakati (Biashara,Viwanda,Uwekezaji,Ujasiliamali)..

Faida ni nyingi na pana hasa kuondoa urasimu na mwingiliano wa majukumu.

Shukrani
Naunga mkono hoja. There's lots of duplicity kwenye maeneo mengi,

Niliwahi pia kushauri Nida iunganishwe RIta,
Habari uinganishwe na utangazaji na Mawasiliano, tuwe na sheria moja ya mawasiliano, habari na utangazaji.

P
 
Salaam

Dunia inapambana kutatua vikwazo vya biashara,uwekezaji na mitaji..Hapa kwetu kumekuwa na jitihada nyingi Za kukuza uchumi kupitia mikakati mbalimbali ya kuwezesha wafanya biashara na wenye viwanda sambamba na kuvutia uwekezaji.

Tatizo Kwa maoni yangu ni wingi wa taasisi zinazofanya majukumu yanayoshabihiana Kwa namna moja au nyingine.

Mathalani tuna Tanzania Investment Centre (TIC),Tanzania Trade Authority (TANTRADE),Export Processing Zone Authority (EPZA) na pia Business Registration and Licencing Agency (BRELA)..

Ukifanya upembuzi wa kina ni wazi majukumu na utendaji wa hizi taasisi unafanana na kuingiliana hivyo kuongeza urasimu usio na lazima.Lakini pia Kwa serikali yetu ambayo bado inapambana kutatua kero lukuki zihusuzo umaskini kwake ni gharama kubwa kuruhusu uwepo wa taasisi hizi.

Nini kifanyike,Nadhani kungeundwa taasisi moja yenye kusimamia majukumu yote ya Hizi taasisi Kwa kuweka Idara Za kimkakati (Biashara,Viwanda,Uwekezaji,Ujasiliamali)..

Faida ni nyingi na pana hasa kuondoa urasimu na mwingiliano wa majukumu.

Shukrani
Unashangaa nini mkuu, kuna NIDA, kuna vizazi na vifo, uhamiaji, mpiga kura kitu ni kile kile, kuna TANROAD kuna TARURA, kuna RUWASA hapo hapo kuna mamlaka za maji kwenye eneo hilo hilo, mambo ya hovyo kabisa matumizi makubwa ya fedha za umma
 
Naunga mkono hoja. There's lots of duplicity kwenye maeneo mengi,

Niliwahi pia kushauri Nida iunganishwe RIta,
Habari uinganishwe na utangazaji na Mawasiliano, tuwe na sheria moja ya mawasiliano, habari na utangazaji.

P
Unashangaa nini mkuu, kuna NIDA, kuna vizazi na vifo, uhamiaji, mpiga kura kitu ni kile kile, kuna TANROAD kuna TARURA, kuna RUWASA hapo hapo kuna mamlaka za maji kwenye eneo hilo hilo, mambo ya hovyo kabisa matumizi makubwa ya fedha za umma
 
Hapo taasisi sumbufu ni BRELA kusajiri kampuni yaweza kukuchukua miezi kadhaa, ukipiga simu kwa wiki unaweza kupokelewa mara moja na hapo uwe umetenga siku nzima ya kupiga simu BRELA
Tumekimbilia kutumia mifumo pasipo kujiandaa madhara yake ni usumbufu na hasara pia wigo wa rushwa kupanuka
 
Unashangaa nini mkuu, kuna NIDA, kuna vizazi na vifo, uhamiaji, mpiga kura kitu ni kile kile, kuna TANROAD kuna TARURA, kuna RUWASA hapo hapo kuna mamlaka za maji kwenye eneo hilo hilo, mambo ya hovyo kabisa matumizi makubwa ya fedha za umma
Ni kweli kabisa
Tusisite kupendekeza nakushauri watumishi wetu viongozi

Ni taifa letu ni nchi yetu..Viongozi wanyenyekevu na shupavu huona fahari kubwa kushauriwa sababu hawana hatimiriki ya ufahamu sahihi wakati wote..

Kibinadamu wanakosea na kukengeuka..

Let keep on advising or advocating for transformation of our institutions
 
Salaam

Dunia inapambana kutatua vikwazo vya biashara,uwekezaji na mitaji..Hapa kwetu kumekuwa na jitihada nyingi Za kukuza uchumi kupitia mikakati mbalimbali ya kuwezesha wafanya biashara na wenye viwanda sambamba na kuvutia uwekezaji.

Tatizo Kwa maoni yangu ni wingi wa taasisi zinazofanya majukumu yanayoshabihiana Kwa namna moja au nyingine.

Mathalani tuna Tanzania Investment Centre (TIC),Tanzania Trade Authority (TANTRADE),Export Processing Zone Authority (EPZA) na pia Business Registration and Licencing Agency (BRELA)..

Ukifanya upembuzi wa kina ni wazi majukumu na utendaji wa hizi taasisi unafanana na kuingiliana hivyo kuongeza urasimu usio na lazima.Lakini pia Kwa serikali yetu ambayo bado inapambana kutatua kero lukuki zihusuzo umaskini kwake ni gharama kubwa kuruhusu uwepo wa taasisi hizi.

Nini kifanyike,Nadhani kungeundwa taasisi moja yenye kusimamia majukumu yote ya Hizi taasisi Kwa kuweka Idara Za kimkakati (Biashara,Viwanda,Uwekezaji,Ujasiliamali)..

Faida ni nyingi na pana hasa kuondoa urasimu na mwingiliano wa majukumu.

Shukrani
Viko vingi vya kuunganisha Kuna sido,camalec,temdo,na upuuzi mwingine kama huo.

Kuna tfs,Tawa,Tanapa,nk vyote vinahusu misitu na wanyama..

Vitu vya msingi kama agency ya mipango Miji na Ardhi haipo ila mataasisi ya kipigaji yasiyo na msingi ndio Yako rundo.
 
Viko vingi vya kuunganisha Kuna sido,camalec,temdo,na upuuzi mwingine kama huo.

Kuna tfs,Tawa,Tanapa,nk vyote vinahusu misitu na wanyama..

Vitu vya msingi kama agency ya mipango Miji na Ardhi haipo ila mataasisi ya kipigaji yasiyo na msingi ndio Yako rundo
 
Nadhani ni rahisi sana Kwa mamlaka za uundaji hizi taasisi kupembua tija mtambuka Kwa taifa

Toka zimeanzishwa hizi taasisi na mamlaka nini cha faida kweli Kwa kizazi kilichopita,Kilichopo na kijacho..

Wananchi ama stakeholders wananufaika vipi Shi Diya uwepo
 
Ni kweli kabisa
Tusisite kupendekeza nakushauri watumishi wetu viongozi

Ni taifa letu ni nchi yetu..Viongozi wanyenyekevu na shupavu huona fahari kubwa kushauriwa sababu hawana hatimiriki ya ufahamu sahihi wakati wote..

Kibinadamu wanakosea na kukengeuka..

Let keep on advising or advocating for transformation of our institutions
Humo wamejaza ndugu zao huwezi kuwashauri kitu chochote
 
Naona wazo lako limefanyiwa kazi na serikali, kuna barua inatembea inayotaka wazo bunifu juu ya jina jipya, nembo mpya na kauli mbiu mpya ya taasisi mpya baada ya serikali kutaka kuunganisha taasisi ya EPZA na TIC
 
Back
Top Bottom