Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
- Thread starter
- #61
Mkuu,ndiyo maana tuna mahakama! Kuna mtu anaua mwenzake still yet mahakama inamuachia huru! Pia kuna mtu anafanya kosa mfano wizi,wewe ukamhukumu kwa kumchoma moto,utaingia hatiani! Hivyo,hata kama Watz walifanya kosa kule Msumbiji,siyo sawa wapigwe,kudhalilishwa kama hukumu! Kwa nini wasifikishwe kiutaratibu na kisheria kwenye vyombo husika? Ingekuwa ni wewe,ungeona halali kufanyiwa hivyo?Kwann wewe usiuze bangi au madawa ya kulevya kama? maana na wewe unatafta rizki. Jitambue kwenye kuvunja sheria hatujalishi ulikua unatafta rizk au nn.. bali uwepo kihalali.