Crusaders
Senior Member
- Jun 30, 2022
- 167
- 205
Habarini wana jukwaa.
Naomba ushauri wenu tafadhali, nina mwanangu amehitimu mwaka huu kidato cha sita (Feza).
Amepata ufaulu wa daraja la kwanza point 7. ( Div I . 7) Science. Kidato cha nne alipata daraja la kwanza point 7 pia.
Anatamani sana kusoma course zifuatazo zinazohusiana na masuala ya anga (aviation).
Nilipata chuo nje ya nchi (Europe) nikalipia hadi tuition fee lakini bahati mbaya amekosa Visa.
Binafsi nimesikitika sana, amehuzunika sana pia, sihitaji huu mwaka upote bure.
Niko hapa mbele yenu kuomba ushauri, ni jinsi gani naweza kufanya kupata admission kwa muda uliobaki ndani ya mwaka huku, ili aendelee na masomo hasa kwa nchi za Europe (Poland, Cyprus na Scandinavian countries) na North America (Usa & Canada).
Nitashukuru sana kwa mchango wenu.
Naomba ushauri wenu tafadhali, nina mwanangu amehitimu mwaka huu kidato cha sita (Feza).
Amepata ufaulu wa daraja la kwanza point 7. ( Div I . 7) Science. Kidato cha nne alipata daraja la kwanza point 7 pia.
Anatamani sana kusoma course zifuatazo zinazohusiana na masuala ya anga (aviation).
- Aerospace Engineering .
- Aeronautical engineering.
- Private Pilot.
Nilipata chuo nje ya nchi (Europe) nikalipia hadi tuition fee lakini bahati mbaya amekosa Visa.
Binafsi nimesikitika sana, amehuzunika sana pia, sihitaji huu mwaka upote bure.
Niko hapa mbele yenu kuomba ushauri, ni jinsi gani naweza kufanya kupata admission kwa muda uliobaki ndani ya mwaka huku, ili aendelee na masomo hasa kwa nchi za Europe (Poland, Cyprus na Scandinavian countries) na North America (Usa & Canada).
Nitashukuru sana kwa mchango wenu.