USHAURI:Nimepiga ila bado anazingua

USHAURI:Nimepiga ila bado anazingua

Tembomtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
266
Reaction score
427
Its my friend's story

Anafanya kazi kwenye shirika moja la pensheni, wakati anaanza kazi mwaka mmoja uliopita, walianza kazi na dada mmoja ambaye walitokea kuzoeana, baada ya muda jamaa akapiga sound kama kawaida dada akakataa kata kata baada ya jamaa kuinsist sana dada akamwambia ana mtu wake. Sasa last weekend jmosi huyu kaka akamkaribisha kwake dada akampikia na baada ya hapo wakawa wanaangalia movie basii jamaa akachombeza akala mzigo.Sasa j3 asubuhi dada akamtxt akamwambia. Asahau kilichotokea jmosi kwasababu anamtu wake.Sasa tunamshauri vip? aendelee ama aachane nae
 
Its my friend's story

Anafanya kazi kwenye shirika moja la pensheni, wakati anaanza kazi mwaka mmoja uliopita, walianza kazi na dada mmoja ambaye walitokea kuzoeana, baada ya muda jamaa akapiga sound kama kawaida dada akakataa kata kata baada ya jamaa kuinsist sana dada akamwambia ana mtu wake. Sasa last weekend jmosi huyu kaka akamkaribisha kwake dada akampikia na baada ya hapo wakawa wanaangalia movie basii jamaa akachombeza akala mzigo.Sasa j3 asubuhi dada akamtxt akamwambia. Asahau kilichotokea jmosi kwasababu anamtu wake.Sasa tunamshauri vip? aendelee ama aachane nae
Aendelee na nini sasa wakati demu keshaona shombo tupu hamna kitu wewe unafikiri jamaa angemtoa supu ya mifupani demu angepindua hata kama angekuwa ana malaika wake!
 
huyo mdada hafai kama ana mtu wake kwa nini alimruhusu jamaa aingie kwenye himaya yake?hajui kama amechezea hisia za mwenzie?anajua malipo ya kuchezea hisia za mtu?mwambie huyo mwenzio aende na yeye akamharibie kwa huyo mtu wake ili wawe pasu kwa pasu,kwani inaonekana hayuko siriasi na uhusiano wake.
 
^^
Wakati mwingine watu wa aina hiyo hawahitaji ushauri..ni kumwasha vibao tu
^^
 
huyo mdada hafai kama ana mtu wake kwa nini alimruhusu jamaa aingie kwenye himaya yake?hajui kama amechezea hisia za mwenzie?anajua malipo ya kuchezea hisia za mtu?mwambie huyo mwenzio aende na yeye akamharibie kwa huyo mtu wake ili wawe pasu kwa pasu,kwani inaonekana hayuko siriasi na uhusiano wake.

Hii ni wazi kuwa jamaa alichemsha kama angegusa pale wanapozimiaga kila wanapo guswa demu angerudi bila kuitwa kifupi hakumshughulia ipasavyo
 
Hata kua nae hafai, Ushauri gani wakati kuna jamaa anakula vile vile?! sasa anataka ku-share au?! kaonja apige kimya!!
 
aendelee nini sasa tena hapo? Kilichotokea ni MECHI YA KIRAFIKI BAINA YA MARAFIKI HAO WAWILI.
 
Ashukuru hata kupewa mechi ya mchangani.... Je? angenyimwa kabisa....
Muambie awe na shukrani.... asipo shukuru hato pata tena.
 
mi hata simshauri chochote huyo dada ni msaliti hafai aamue mwenyewe kusuka au kunyoa :help:
 
Asiye shukuru kwa dogo hata kubwa halimfai.....kapewa hiyo jmos anataka mpka j3!!!!!huyo demu ameshamwambia ana mtu wake,,sasa yeye maswal yakuendelea nae anayapata wapi???au kisa kaonjeshwa ndo anaona kakubaliwa??wengine hawana hiyana anakupa tu lakin ndo hataki mahusiano na ww tena aftr game!!!!
 
Its my friend's story

Anafanya kazi kwenye shirika moja la pensheni, wakati anaanza kazi mwaka mmoja uliopita, walianza kazi na dada mmoja ambaye walitokea kuzoeana, baada ya muda jamaa akapiga sound kama kawaida dada akakataa kata kata baada ya jamaa kuinsist sana dada akamwambia ana mtu wake. Sasa last weekend jmosi huyu kaka akamkaribisha kwake dada akampikia na baada ya hapo wakawa wanaangalia movie basii jamaa akachombeza akala mzigo.Sasa j3 asubuhi dada akamtxt akamwambia. Asahau kilichotokea jmosi kwasababu anamtu wake.Sasa tunamshauri vip? aendelee ama aachane nae

Kakwambia umuombee ushaur au umejiagiza?
swali la pili litafata baadae...
 
Kwa kifupi huyo jamaa ako{ingawa ni wewe umeuliza kiujanja}hakum.t.o.m.b.a huyo demu vizuri,mademu hua wanakawaida ya kuwa na dharau pale wanapokua hawajatiwa vizuri.
 
Kaonja anataka ang'ang'anie, kuna wanaume ving'ang'anizi kama kupe.
 
one night sex sio lazima i-lead kwenye relationship. km walivyosema wenzako, inawezekana dada hakupagaishwa cku hiyo. au labda alitaka ku-taste tu aonje ladha tofauti, kashaonja kaona hakuna jipya.
 
hakuna cha maujuzi wala nini huyo binti ni jamvi la wageni hana lolote,anaogopa akiliendeleza wake atamshtukia na ye hataki hilo litokee kwa kuwa anaitaka ndoa sana tu.
Hii ni wazi kuwa jamaa alichemsha kama angegusa pale wanapozimiaga kila wanapo guswa demu angerudi bila kuitwa kifupi hakumshughulia ipasavyo
 
Back
Top Bottom