Pantwetter
New Member
- Jul 2, 2013
- 2
- 1
Its my friend's story
Anafanya kazi kwenye shirika moja la pensheni, wakati anaanza kazi mwaka mmoja uliopita, walianza kazi na dada mmoja ambaye walitokea kuzoeana, baada ya muda jamaa akapiga sound kama kawaida dada akakataa kata kata baada ya jamaa kuinsist sana dada akamwambia ana mtu wake. Sasa last weekend jmosi huyu kaka akamkaribisha kwake dada akampikia na baada ya hapo wakawa wanaangalia movie basii jamaa akachombeza akala mzigo.Sasa j3 asubuhi dada akamtxt akamwambia. Asahau kilichotokea jmosi kwasababu anamtu wake.Sasa tunamshauri vip? aendelee ama aachane nae
Pengine huyo dada anamtaka jamaa ila anataka kujiwekea mazingira mazuri kuwadate wanaume wote wawili so ni jitihada za jamaa kumdatisha demu aje kwake au aguseguse demu aweke akili yake kwa jamaa wa mwanzo.