asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Aendelee na nini sasa wakati demu keshaona shombo tupu hamna kitu wewe unafikiri jamaa angemtoa supu ya mifupani demu angepindua hata kama angekuwa ana malaika wake!
siku hizi naona stress zimepungua,,,,,,,,,,
huyu jamaa kwei atakuwa mtia shombo , sioni ni kwa jinsi gani nimgegede mwanamke mara moja halafu aje na blah blah ya ana mtu wake,,,,,,,,,,,,