DOMINICK GERVAS
Member
- Feb 7, 2013
- 12
- 0
let hm go! very sory
Ana take advantage ya kuwa wakwanza...ukiendelea naye ndio utajua kwa nini ulizaliwa mwanamke...
Afu sijuhi kwa nini wasichana wanaoolewa na first lovers uwa wana bugi...huna experience unadhani yeye ndo mwanaume pekee duniani...hawa jamaa wengi shukuruni zero wewe badala ya kumove on na ku explore dunia unatulia nae kama umewekewa gundi....
eti ameomba ,msamaha...maneno ya hovyo aliyotamka ameyasafisha kwa lugha ipi mpaka uuite 'msamaha' kama si tu wewe umejitoa ufahamu.
KATOTY pole sana..hapa usijishauri mara mbili...chapa mwendoNashkuru sana kwa ushauri wenu wa hekima na busara wana jf, naahidi kuufanyia kazi.
kaizer; natamani sana kurrespond ila ndipo ofisin kazi zimenibana hata sasa ni lunch time ndo nmeweza kujibu.
Una miaka 26 na una mwanamme kwa miaka 2, huyu tu unaomzungumzia hapa, hatujui wengine wa kabla yake, pengine uliupoteza usichana wako miaka 10 nyuma na unajiita msichana? una uhakika na usichana wako?
Sasa umemfumania nini? kwani ni mumeo? wewe ulipoweza kumvulia kufuli yako kabla hajakuoa ulifikiri kuwa wengine hatoweza kuwarubuni wakavua kufuli zao kama alivyokurubuni wewe?
Watu kama wewe ndio mnaohalalisha kuzini wakati dini zote zinakataza.
Nenda kapime.
abusive type fellow...atakusumbua sana.....lakini huo mstari kwamba hajakutoa out wala kukununulia chochote na unamzidi mshahara kwa nini umeuweka kwenye hii story....nina walakini kidogo hapo...usikute umetupa one side of story
Mkuu ikiwa wewe kweli hujawahi kushiriki tendo hilo basi uwe wa kwanza kumtupia jiwe huyo binti.... Unajua kila jambo linawakati wake?? Huu siyo wakati wa kumshambulia kwa kushirikiana ngono na yule kijana muhuni.... Hata malaya wanaojiuza wakienda kupimwa na kukutwa nao huwahawashambuliwi.... Wanapewa nasaa kawaida tu... Anza na familia yako... Then wakiacha kufanya ngono kabla ya ndoa hamia mitandaoni sasa
Una miaka 26 na una mwanamme kwa miaka 2, huyu tu unaomzungumzia hapa, hatujui wengine wa kabla yake, pengine uliupoteza usichana wako miaka 10 nyuma na unajiita msichana? una uhakika na usichana wako?
Sasa umemfumania nini? kwani ni mumeo? wewe ulipoweza kumvulia kufuli yako kabla hajakuoa ulifikiri kuwa wengine hatoweza kuwarubuni wakavua kufuli zao kama alivyokurubuni wewe?
Watu kama wewe ndio mnaohalalisha kuzini wakati dini zote zinakataza.
Nenda kapime.[/QUOTE
wewe nae unamcrush mwenzako as if wewe uliolewa au bado ni bikra..stop being ignorant kiasi hicho...je wajua watotot wako au wadogo zako kama bado ni mabikra,japo hawajaoa/kuolewa...you are always weird ..sijui wewe ni kiumbe wa aina gani.!!
Achana nae huyo zemfala hayoHabari za asubuhi wana JF, natumani mu wazima. Naombeni msaada na ushauri wenu katika hili:
Mimi ni msichana wa miaka 26, nina mchumba tuliyedumu miaka 2 sasa kuanzia 2011 tulipomaliza chuo pamoja.
Nafanya kazi bank na yeye anasoma masters huku akifundika shule moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi sikuwa kuwa na mpenz ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kuwa pamoja na tufunge ndoa mwakani 2014 na utambulisho tayari umefanyika.
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny sim yake kutoka kwa wapenzi wake wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Hajawahi hata kunitoa out, hata nguo hajawahi kuninunulia na kwa sabab nina kazi nalipwa 3 times more ya mshahara wake sikuona shida sana.
Kinachoniumza ni hiki, miezi 2 iliyopita amenibadilikia sana mawasiliano hafifu just gmorning and g9t, nliumia sn ckujua nn kinaendelea. Nikapeleleza kumbe mpenzi wake wa zamani analala kwake siku ambayo mimi sijaenda. Juzi nikapigiwa simu na majirani zake kuwa huyo kuna mdada kaja kwa bf wako. Nikampigia simu kuwa 'nataman kuwa nawe leo' akaniambia nimechoka kweli naona tuonane kesho. Mimi nikaenda nikawakuta akaanza kutahamaki na kupanic.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfaham aliyenae ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu ulishajulikana kwa ndugu zangu basi.
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanawake 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini na maumivu haya makali nliyonayo.
Asanteni.
wewe nae unamcrush mwenzako as if wewe uliolewa au bado ni bikra..stop being ignorant kiasi hicho...je wajua watotot wako au wadogo zako kama bado ni mabikra,japo hawajaoa/kuolewa...you are always weird ..sijui wewe ni kiumbe wa aina gani.!!