Ushauri: Niende jeshi au niendelee na biashara zangu?

Dr Msweden

JF-Expert Member
Nov 3, 2020
2,632
9,445
Habari za mida? Mimi ni Daktari ,doctor of medicine nina umri wa miaka 28yrs nimejiajiri nina pharmacy moja na maabara moja na nipo mbioni kufungua dispensary na pharmacy nyingine faida ninayopata kwa siku wastani ni laki 5, hapa kati imetokea changamoto mzee aliniambia niandae CV zangu ana rafiki yake jeshini yupo ngazi za juu kabisa amesema anataka vyeti.. haraka tu natinga gwanda za mabaka.

Mzee nilimkatalia nikamwqmbia hapana siwezi kuingia jeshi sababu ya kwanza faida ninayopata kwa mwezi ni mara *6 ya mshaara wa jeshi, pili nipo huru sana na biashara zangu ninaweza kufanya chochote bila shuruti ya mtu,tatu naifurahi kazi yangu.

Mzee amekuja na sababu zake kwanza amesema kwa nchi kama tanzania biashara hazitabiriki hakuna sera nzuri kwa wafanyabiashara akatoa mfano yeye biashara zake zilivyofungwa na TRA, pili jeshini kuna security kubwa iwe kuumwa au laah lakini mshahara upo pale pale tofauti na kujiajiri ukiumwa tu ukipatwa na majanga biashara lazima itetereke, tatu ni heshima,nne unakuwa na uhakika wa maisha hata biashara zangu zikiyumba basi ajira itanipa back up.

NB: Mwisho kabisa amesema niende jeshini uku nikiendelea kusimamia biashara zangu.

Naombe ushauri wenu niende jeshi huku nikiendelea na biashara zangu au nitulie na biashara zangu niachane na jeshi?
 
Hakuna kitu kama kwenda jeshini huku ukisimamia biashara!!!

Watakupeleka mafunzoni eg Monduli kwa miezi 6, then utapangwa say kwenye kambi fulani ya JW mfano Musoma huko.. Labda kama hizo biashara unafanyia online. Vinginevyo biashara kama ni changa zitaangukia pua upesi!

Ushasema sababu zake ni za kizamani, piga chini politely, komaa na biashara
"Never let your emotions overpower your intelligence"
 
Mzee kuhenya hakuna mchongo ,kozi haitaangalia wewe ni nani ,jiandae kiakili kwa asilimia 2,na kinguvu kwa asilimia mia .Unaweza enda kozi ukawa private au hata ukafeli kozi ukapoteza future yako .
Unaweza kua private vigezo vya cardet vikakutoa nouma ukabaki ukiwa private .Hii itakuumiza sana kwani utakua kila ukiiona elimu yako na cheo ulichonacho inakuumiza moyoni.Baki na ujira ulionao Hakuna pesa yenye nembo ya jwtz mzee nimemaliza
 
Na sisitiza tena chombo sio shirika la mkonge , kikikupenda utakula shushu kikikukataa utachambia singe ,kumbuka unaenda kuandikishwa sio kuajiriwa so jielewe hata kufutwa kupo. MZEE KUNA MDA UTAKUA KAMBALE NA KWINGINE WATU WANALALA JUU YA TUTA ZAIDI YA MWAKA LEO .NIISHIE APO .UNGEKUA HUNA MTAJI NINGEKUAMBIA KATEGE MZEE ILA JIANDAE KUNYWA MAJI YA KUTOSHA
 
Kwa mwezi unaingiza faida ya 15ml kwa mwaka faida tu ni 180ml kwa miaka mitano utakuwa bilionea.

Hongera bila shaka biashara yako ipo sehemu nzuri and you are just 28.
Kawaida boss nilianza na duka la dawa tangu nikiwa mwaka wa kwanza muhimbili...wakati nipo internship nikafungua pharmacy.
 
Kwa mwezi unaingiza faida ya 15ml kwa mwaka faida tu ni 180ml kwa miaka mitano utakuwa bilionea.

Hongera bila shaka biashara yako ipo sehemu nzuri and you are just 28.
Labda anafanya mauzo ya laki 5 lakini faida ya laki 5 kwa mwezi kutokana na duka la dawa na maabara ana bahati sana huyu. Sasa uko jeshini anaenda kutafuta nini?
 
Habari za mida? Mimi ni Daktari ,doctor of medicine nina umri wa miaka 28yrs nimejiajiri nina pharmacy moja na maabara moja na nipo mbioni kufungua dispensary na pharmacy nyingine faida ninayopata kwa siku wastani ni laki 5, hapa kati imetokea changamoto mzee aliniambia niandae CV zangu ana rafiki yake jeshini yupo ngazi za juu kabisa amesema anataka vyeti.. haraka tu natinga gwanda za mabaka.

Mzee nilimkatalia nikamwqmbia hapana siwezi kuingia jeshi sababu ya kwanza faida ninayopata kwa mwezi ni mara *6 ya mshaara wa jeshi, pili nipo huru sana na biashara zangu ninaweza kufanya chochote bila shuruti ya mtu,tatu naifurahi kazi yangu.

Mzee amekuja na sababu zake kwanza amesema kwa nchi kama tanzania biashara hazitabiriki hakuna sera nzuri kwa wafanyabiashara akatoa mfano yeye biashara zake zilivyofungwa na TRA, pili jeshini kuna security kubwa iwe kuumwa au laah lakini mshahara upo pale pale tofauti na kujiajiri ukiumwa tu ukipatwa na majanga biashara lazima itetereke, tatu ni heshima,nne unakuwa na uhakika wa maisha hata biashara zangu zikiyumba basi ajira itanipa back up.

NB: Mwisho kabisa amesema niende jeshini uku nikiendelea kusimamia biashara zangu.

Naombe ushauri wenu niende jeshi huku nikiendelea na biashara zangu au nitulie na biashara zangu niachane na jeshi?
Mwaka Jana ulikua una miaka 24,mwaka huu una miaka 28.

Nice story.
Screenshot_20220412-124203.jpg
 
Habari za mida? Mimi ni Daktari ,doctor of medicine nina umri wa miaka 28yrs nimejiajiri nina pharmacy moja na maabara moja na nipo mbioni kufungua dispensary na pharmacy nyingine faida ninayopata kwa siku wastani ni laki 5,hapa kati imetokea changamoto mzee aliniambia niandae CV zangu ana rafiki yake jeshini yupo ngazi za juu kabisa amesema anataka vyeti.. haraka tu natinga gwanda za mabaka.
Mzee nilimkatalia nikamwqmbia hapana siwezi kuingia jeshi sababu ya kwanza faida ninayopata kwa mwezi ni mara *6 ya mshaara wa jeshi, pili nipo huru sana na biashara zangu ninaweza kufanya chochote bila shuruti ya mtu,tatu naifurahi kazi yangu.
Mzee amekuja na sababu zake kwanza amesema kwa nchi kama tanzania biashara hazitabiriki hakuna sera nzuri kwa wafanyabiashara akatoa mfano yeye biashara zake zilivyofungwa na TRA, pili jeshini kuna security kubwa iwe kuumwa au laah lakini mshaara upo pale pale tofauti na kujiajiri ukiumwa tu ukipatwa na majanga biashara lazima itetereke,tatu ni heshima,nne unakuwa na uhakika wa maisha hata biashara zangu zikiyumba basi ajira itanipa back up.
NB:mwisho kabisa amesema niende jeshini uku nikiendelea kusimamia biashara zangu.
Naombe ushauri wenu niende jeshi uku nikiendelea na biashara zangu au nitulie na biashara zangu niachane na jeshi?
Nenda jeshini,zahanati zako zitaendelea tu,waza kwa mapana,kule jeshini utatengeneza mtandao mkubwa,na status itakayokulipa vzr,
Hapo kwenye biashara yako ajiri mtu,Dokta asimamie,wapo watumishi wengi tu serikalini Wana biashara za pembeni,kuwa jeshini hakuwezi kuwa kikwazo Cha wewe kuwa na biashara nyingine.hata sie wahandisi huo ndio mwendo,tupo TTCL lakini tuna miriki makampuni ya ukandarasi na tuna hisa kwenye makampuni mengine.
 
Kwa mwezi unaingiza faida ya 15ml kwa mwaka faida tu ni 180ml kwa miaka mitano utakuwa bilionea.

Hongera bila shaka biashara yako ipo sehemu nzuri and you are just 28.
Huyu mbona kama wana genes za ukichaa siyo wa kumwamini.

 
Nenda jeshini,zahanati zako zitaendelea tu,waza kwa mapana,kule jeshini utatengeneza mtandao mkubwa,na status itakayokulipa vzr,
Hapo kwenye biashara yako ajiri mtu,Dokta asimamie,wapo watumishi wengi tu serikalini Wana biashara za pembeni,kuwa jeshini hakuwezi kuwa kikwazo Cha wewe kuwa na biashara nyingine.hata sie wahandisi huo ndio mwendo,tupo TTCL lakini tuna miriki makampuni ya ukandarasi na tuna hisa kwenye makampuni mengine.
Acha kabisa bosi kulinganisha kada yako na chombo , atacheza na det mpka achoke yaani na wakijua tu ana vimiradi ni mwendo wa RPG mpka aseme Up 1.
 
Back
Top Bottom