Davies Mwankina
Member
- Nov 15, 2018
- 72
- 52
Barikiwa sana, kumbe ulifanikiwa?Mkuu Mungu akubariki sana, niko hapa nasoma huu ushauri wako leo nikiwa USA, nina amani kabisa na furaha, yote uliyoniombea naona yanatokea, Mungu akubariki nawe sana.
Barikiwa sana, kumbe ulifanikiwa?Mkuu Mungu akubariki sana, niko hapa nasoma huu ushauri wako leo nikiwa USA, nina amani kabisa na furaha, yote uliyoniombea naona yanatokea, Mungu akubariki nawe sana.
Huyu anajielewa, Mungu amsaidie tu asije jiingiza kwenye ualimumpwayungu village njoo uone wenzako wanavyotusuwa.
Wabongo bhana unapoteseka wanakupa pole tu ila ukitusua wanageuka ombaombaMpaka December kibubu chako cha part time job kitakuwa kimejaa, usinisahau kunitumia ya ugolo ili Nile matunda ya free consultation, au siku hizi wanaita sadaka.
Ndio Mkuu nilifanikiwa.Barikiwa sana, kumbe ulifanikiwa?
Mkuu nilifanikiwa kusafiri tangu last year August.Mkuu unaweza tupatia mrejesho juu ya juhudi zako ili iwe funzo kwa wengine maana tungependa uwe kiigizo chetu.
Haina tatizo Mkuu karibu.Hongera sana chief Mungu mwema kweli aisee
nakuomba uwe mentor wang chief kwa baadhi ya miongozo nitakayokuuliza mkuu
natanguliza shukran
Asante sanaHongera
Boss mrejesho maishaa vipi hukooAsante sana
Boss mrejesho maishaa vipi hukoo
Kaka kwema.Haina tatizo Mkuu karibu.
Bora umeona hilo kiongozi EBM ana makelele sana na msaada hana!Kwanza jamaa anaitwa EBM na siyo IBM,jamaa huyu anaongea mambo mengi sana lakn yote ni magumu sana kwa wa Tz,anaongelea scholarship zenye masharti ya IELTS na TOEF yaani kiufupi yupo more complicated sana hana plan B kabisa.
Tujuze yaliyojili hukoBora umeona hilo kiongozi EBM ana makelele sana na msaada hana!
Juzi alikuwa mwenge hapo niulize kifuatacho
Mmhhh huyu huyu ambae hajib email na wasupSio IBM ni EBM Mswahili anatoa maarifa jinsi ya kupambana USA kihalali na ukatoboa,amejitolea kuwasaidia watanzania wanaochelewa fursa nje
Sema unaonekana we jamaa ni mtu mwema sana!Mkuu nilifuata hii njia ulivyonishauri, hawa watu wamekuwa wema mno kwangu, Mungu yupo aisee, Mungu yupo, in short leo nimeona nifanye Personal Reflection kupitia hii thread ili kuniongezea hamasa zaidi ya kupambana, kujua na kukumbuka ulipotoka (siku mbaya ulizopitia) ni hatua bora ya kukumbuka ni nini unapaswa ufanye.
nimecheka kisengeeeWabongo bhana unapoteseka wanakupa pole tu ila ukitusua wanageuka ombaomba