Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,758
- 156,825
Acha ujinga zaa wa kwako, mtoto wa mtu akikua atatafuta wazazi wake na utabaki na maumivu zaidiNimefikia hatua za awali za kuasili mtoto, naombeni ushauri nichukue kachanga kabisa au wa kuanza shule at least 3yrs?
Pili nichukue ka kike au ka kiume? Napenda ka kiume ila nikikumbuka maswaibu na mateso ya wanaume waliyonitendea humu duniani?
Any way nimemuachia MUNGU
Naombeni ushauri wa dhati jamani, kama ni ada niandae inshalah nitapata hatutakufa njaa.