Kweli angetafuta course asome
Maana biashara haitaki lelemama mwanzo alikuwa anauza perfume akaacha
Sahivi anapost make up na nguo kuwa anauza kwa order
Yaani yeye ni full picha za makalio... kuna siku nilikua sehem nikawa nasikia wanavyohadithia walimpa pesa bidada akaliwa mtungo huko holiday in.... nikajisemea tu lahaulaa lakwata
Umri kusonga....!! Siyo yale magonjwa yetu mkuu?? Hawakawii kusema alikuwa anaumwa kifua ilhali anakonda mapaja
chief...ule ugonjwa haukondehsi siku hizi....with ARV mtu anaondoka akiwa na kitambi chake
Madawa ya kulevya aliachaga au ndo yupo likizo
Mi cjui mshamba manake nikiona maburungutu kama hayo ya Masogange huwa hayanishtuagi hata kidogo... sana sana yakizidi sana huwa yananikata stimu!
Umbea umenishinda nimeamia kwenye ushaur nasaha
Umri kusonga....!! Siyo yale magonjwa yetu mkuu?? Hawakawii kusema alikuwa anaumwa kifua ilhali anakonda mapaja
Mmmmh!
Kalipungumze kipenzi changu ubaki na kama la J.Lo au Kim K! Lol
Hahahaaa, dear mimi kawaida sana.Hayo 'majaaliwa' mie sina...lol
Ulivyoguna nikajua na we unalo la hivo!