Ushauri: Mjue kwa undani Agness Masogange

Ushauri: Mjue kwa undani Agness Masogange

Huyo mtaji wake ni mk@# wake? Picha zake zote lazima aoneshe @ss yake na hicho Ndiyo kitu anachojivunia
 
Bibie busy 24hours kuji post makalio, loh!! Kajisahau mwenyewe wakati maisha yake anayajua yeye

Si kuna ule msemo biashara matangazo ama??ha ha ha ha ha Chumbani wateja hawayaoni.
 
Nimeguna maana wanaume wengi wa kiafrika ndio ugonjwa wao huo.Sasa nikimsikia mwanaume anayesema hayapendi nashangaa!

Si kweli nifah!si kweli wanaume wengi african ndio ugonjwa wao~wengi wa wanaume hawaweki kalio type as a wife ndani~nami kwa kweli sipendi hao kalio type~kama masogange kwangu ni kinyaa!mfano niko kwenye taasisi ya kifedha~pale pool tuko kama 16 vijana na wanawake 9~vijana waliooa 11~tunakutana kwenye sherehe mwisho wa mwaka! almost wote wameoa vimbaumbau mpaka tunashangaana~lakini huku nje kwenye michepuko ndio utasikia huyu kavuta mzigo~kalio type~
 
Huyu ndio alikamatwa na mwenzake kwa madawa ya kulevya airport huko South Afrika wakitokea TZ akafungwa then wakaachiwa. shepu kapewa ila sura mmmh no -wow
 
I see, unaguna vizuri; ila hako ndo kaukweli kenyewe!! Nakumbuka long time fulani hivi hivi, kulikuwa na mmoja hivi, mashallah... kajaaliwa kakatika barabara halafu ndo kafika sasa! Trust me, Unaweza kukuta nakuwa na usongo nae mbaya mno... basi nikikutana nae tu, stimu zinakatika hapo hapo! To cut story short, hayanipi stim!
 
Si kweli nifah!si kweli wanaume wengi african ndio ugonjwa wao~wengi wa wanaume hawaweki kalio type as a wife ndani~nami kwa kweli sipendi hao kalio type~kama masogange kwangu ni kinyaa!mfano niko kwenye taasisi ya kifedha~pale pool tuko kama 16 vijana na wanawake 9~vijana waliooa 11~tunakutana kwenye sherehe mwisho wa mwaka! almost wote wameoa vimbaumbau mpaka tunashangaana~lakini huku nje kwenye michepuko ndio utasikia huyu kavuta mzigo~kalio type~
Yaani nasema hivi, kama nimerogwa sawa tu... sijawahi kuyahusudu hayo madude hata mara moja... tena afadhali mtu awe anayavalia nguo za staha lakini kama ndo anaamua kunitega kwa staili za Masogange, ajue atarudi nayo alikotoka nayo!
 
Back
Top Bottom