Ushauri: Mjue kwa undani Agness Masogange

Ushauri: Mjue kwa undani Agness Masogange

Si kweli nifah!si kweli wanaume wengi african ndio ugonjwa wao~wengi wa wanaume hawaweki kalio type as a wife ndani~nami kwa kweli sipendi hao kalio type~kama masogange kwangu ni kinyaa!mfano niko kwenye taasisi ya kifedha~pale pool tuko kama 16 vijana na wanawake 9~vijana waliooa 11~tunakutana kwenye sherehe mwisho wa mwaka! almost wote wameoa vimbaumbau mpaka tunashangaana~lakini huku nje kwenye michepuko ndio utasikia huyu kavuta mzigo~kalio type~

Khaaaaa! Ngoja niishie hapa tu maana nina maswali lukuki.
Anyways,hongereni na lifestyle zenu.
 
Ujana maji ya moto unadhani atakusikia sijui utoto unamsumbua au ujana au huyu demu akili zote ziko kwenye makalio mm sielewi Baba ake sijui anajivunia nini bado afanye ya maana anauza nyago tuu
 
Sema ni hayo matangazo yake tu kwani kila mwenye tako angekuwa analitanga yeye si kitu kabisa kuna watoto wamefinyangwa bwana.
 
Sema ni hayo matangazo yake tu kwani kila mwenye tako angekuwa analitanga yeye si kitu kabisa kuna watoto wamefinyangwa bwana.

Tak* lake sijui limekaaje kama limepinda vile
 
Tusidanganyane hapa.. Hakuna mwanaume wa kiafrika asyevutiwa na makalio makubwa linapokuja suala la tamaa ya kimwili.....
Unless uwe na matatizo.

Anyway namshauri agness masogange atizame miaka walau miaka 5 ijayo ataishi maisha gan... Maana kuna umri ambai watu hawatavutiwa naye
 
Dogo ana-"figure" la ukweli. Nitampataje jamaniii?!. Nipo tayari kumpa 1m kwakila goli.
Ooh Maso, Your so beautiful.
 
Sema ni hayo matangazo yake tu kwani kila mwenye tako angekuwa analitanga yeye si kitu kabisa kuna watoto wamefinyangwa bwana.
Mfano Junaithar.aiseee yule dada ni.balaaa.havumi lakini ni.zaidi ya wamooo.shkamoo Junaithar
 
Huyo mwanamke si ni changudoa huko SA

Ni kweli kabisa.huwa anaendaga ma hotel na restaurant kubwa kubwa mfano News Cafe,Fishaway na nyinginezo.Pale wataagiza chakula cha maana na kuhakikisha wanachukua contacts tu.Then wakitoka hapo ndio wanatafutana na kumalizana kiroho safi.Yupo yeye na rafiki yake anaitwa Muu.Wao viwanja vyao wanawalenga wapopo na waangola tu.Walikuaga watatu na yule Mellisa naona wamemtundika mimba nowadays yupo Dar hapa sijui anafanya nini.
 
mbona masogange wa kawaida tu, mtaani kuna vitu hata hagusi, magazeti tu yanampamba
 
Mleta mada, umeleta majungu tu.
Uliposema tumjue kiundani masogange nikafili inakuja full biography.... Kumbe full mipasho.
 
mkuuu ulishindwa kutoa uo ushauli wakati akiwa hai sasa Ameshakwenda muache a rest in peace mengine ayatuhusu ...na hizo na fasi naona ata kina wema kina tunda na wengine hawazitendei haki... God bless the dead.
 
Back
Top Bottom