Sasa ndo akaibe bank? maisha huhitaji kulazimisha sana mkuu..hapo ni kosa kama kosa lingine kwa kuwa mwajiri lazima amdhamini na ili uache kazi kuna taratibu za kufuata ikiwemo kuandika notisi ya mwezi ama masaa 24 na mwajiri wako akubali...kama una deni atakubali ili kabla ya kusaini exit form na taratibu zingine atakutaka uweke sawa mambo yako ikiwa pamoja na kulipa madeni na ku-handle over mali za ofisi n.k ndipo anaposaini kuondoka (mpaka hapo ujiulize atafanyaje ili atoke kwa mwajiri vinginevyo atatuhumiwa kwa makosa mawili ya kukimbia mkopo bank na kutoroka kazini maana hawezi kuacha kazi kienyeji na hakuna mwajiri atakubali wakati ana mkopo)