bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Kama kichwa kielezavyo, mdogo wangu amepangiwa kibiti combination ya PCB, Kwenye familia kumekuwa na ubishani mkubwa wengi wao wakipinga aisende huko kutokana na hali ya usalama, sisi wachache tumeonelea yeye kwenda kwani serikali inajitahidi kuweka usalama katika hali yake ya zamani...
Wapendwa Tumefikiria sana tumefika mwisho au ukomo wa kufikiria, Kwa Niaba ya familia naomba maoni yenu, najua tupo wengi wenye mawazo toauti zaidi ya haya yetu, dogo mwenyewe ndo tunamtegemea na tunaarajia ndiye atakayetutibu huko mbeleni tukiwa wazee kwa NEEMA YA MUNGU, Naombeni mawazo yenu..
Natanguliza shukrani!
bampami!
Wapendwa Tumefikiria sana tumefika mwisho au ukomo wa kufikiria, Kwa Niaba ya familia naomba maoni yenu, najua tupo wengi wenye mawazo toauti zaidi ya haya yetu, dogo mwenyewe ndo tunamtegemea na tunaarajia ndiye atakayetutibu huko mbeleni tukiwa wazee kwa NEEMA YA MUNGU, Naombeni mawazo yenu..
Natanguliza shukrani!
bampami!


