Wiwachu
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 809
- 923
Habari za wakati huu ndugu na jamaa, mimi ni mhanga wa tatizo la mbao za nyumba yangu niliyopaua miezi 9 iliyopita toka mwezi wa 9 mwaka jana ila kufika leo hii nasikia juu kwenye dali kelele za wadudu kama wanakula mbao asubuhi pia nikiamka naona kuna uchafu wa mbao kuliwa kama unga unga uliotoka juu
Wakati ni nazinunua mbao hizo niliambiwa ni za dawa zishapakwa tayari na zilikuwa ninaonekana na rangi kama kijani kwa mbali kuonesha zina dawa lakini ndo kama nilivowaambia zinaliwa na wadudu,, ni ipi njia nzuri ya kuzinusuru zisiliwe na kuoza mwisho paa la nyumba lisianguke na kupata hasara..
Je, kupaka dudukilker kutasaidia? na je bado ipo madukani hiyo dawa ya mbao ya dudukilker?
Kuna dawa nyingine ya kuweza kupaka mbao zikiwa juu ya paa tayari?
Je, kuna vifaa vya kupaka kwa kupuliza au kupaka kwa brush na lola la kuburuza kama wanavopaka ukuta nk?
Naombeni ushauri wenu kwa mtu mwenye uzoefu au aliyekwisha kutana na changamoto kama yangu.
Karibuni kwa michango yenu.
Wakati ni nazinunua mbao hizo niliambiwa ni za dawa zishapakwa tayari na zilikuwa ninaonekana na rangi kama kijani kwa mbali kuonesha zina dawa lakini ndo kama nilivowaambia zinaliwa na wadudu,, ni ipi njia nzuri ya kuzinusuru zisiliwe na kuoza mwisho paa la nyumba lisianguke na kupata hasara..
Je, kupaka dudukilker kutasaidia? na je bado ipo madukani hiyo dawa ya mbao ya dudukilker?
Kuna dawa nyingine ya kuweza kupaka mbao zikiwa juu ya paa tayari?
Je, kuna vifaa vya kupaka kwa kupuliza au kupaka kwa brush na lola la kuburuza kama wanavopaka ukuta nk?
Naombeni ushauri wenu kwa mtu mwenye uzoefu au aliyekwisha kutana na changamoto kama yangu.
Karibuni kwa michango yenu.