mysimu
Senior Member
- May 2, 2017
- 151
- 44
Mama mkwe wangu ameniambia nimpe mwanae talaka yake!Kiufupi nilishaleta uzi wa swaala langu hapo nyuma.
Mke wangu alikua ananifitisha na familia yake hadi ikawa pande mbili za wazazi hazielewani.
Kwa ubusara nikaona nirudishe kwao akapumzike kidogo. Chakushangaza leo mama mkwe ananipigia simu nakuniambia kwa hasira na maneno makali sana nimpe mwanae talaka yake.
"Nikamuuliza mama unadai talaka wewe au mwanao?" Akanijibu ndio nimeshakuambia!
Na huyo mwanae akadakia ndio nataka talaka yangu! Sasa nikabaki njia panda ni kipi kiaendelea hadi saivi na kipi nikifanye?
NAOMBENI USHAURI
Mke wangu alikua ananifitisha na familia yake hadi ikawa pande mbili za wazazi hazielewani.
Kwa ubusara nikaona nirudishe kwao akapumzike kidogo. Chakushangaza leo mama mkwe ananipigia simu nakuniambia kwa hasira na maneno makali sana nimpe mwanae talaka yake.
"Nikamuuliza mama unadai talaka wewe au mwanao?" Akanijibu ndio nimeshakuambia!
Na huyo mwanae akadakia ndio nataka talaka yangu! Sasa nikabaki njia panda ni kipi kiaendelea hadi saivi na kipi nikifanye?
NAOMBENI USHAURI