Ushauri kwa Watanzania wanaotumia viyoyozi (air conditioners) kwenye magari, maofisini na majumbani

Labda wewe utakuwa mhanga wa AC. Au unatumiwa na mabeberu.

Km wewe unajua basi nijibu swari hili.
kwanini wahanga wengi wa c.19 niwatu wenye madaraka ya juu , matajiri, nawatu wa kishua?
km upo dar, niambie hapo ubungo niwapiga debe au walala hoi wangapi wamekufa wakati ndo wapo mazingira hatarishi wakisaka mkate wao wakila siku?
niambie kule kijijini kwenu mwasinasi simiyu niwazee wangapi wanachomoka pamoja nakula vipolo bila kusahau tumbaku, gongo nk.?
niambie niwazee wangapi maeneo ya mjini wanaochomoka ambao wanaonekana ni wazee wakishua wazee wa nyumba za vioo na kula chips?

..................................................
Sijafanya Sensa ya wapiga debe pia media zitaripotije kuwa Mpiga debe wa Ubungo kafa? Acha hasira ya kutokua na AC
 
Shida ya wa tz nikutaka kutafiti visivyotafitika.
1.ushahidi upo wazi kuwa nchi zenye ubaridi zimeathirika zaidi kuliko nchi zilizo ukanda wa joto.
Kwa hapa kwetu , wahanga wengi niwatu walioukanda wa mikoa ya baridi na watumiaji wakuu wa viyoyozi kuliko wanaokaa ukanda wa joto na wale wa uswahilini ambako hawana AC wala fen , wahanga wamaeneo yajoto wengi ni wazee na wagonjwa ambao kinga zao zipo chini.

Kuhusu joto la mwili nikwamba joto la binadamu hushushwa na maji ya baridi km huduma yakwanza hivyo unaonekana wewe ni mbumbumbu hujui lolote.
Lakini pia ukae ukijua covid-19 inashambulia mfumo wa hewa, na adui mkubwa wa mfumo wa hewa baridi, maana baridi likizidi huwezi kutoa jasho la baridi km joto linapozidi ambapo unaweza kutoa jasho jingi na hawa cov19 makazi yao makubwa ni kwenye ubaridi.
Matumizi makubwa ya viyoyozi nisawa na kupenda kufanya ngono sana bila kinga (ngono zembe) hiyo unajiweka ktk hatari zaidi ya kupata magonjwa hataree zaidi.
Ndo maana mpaka sasa waathirika wakubwa ktk nchi nyingi Africa na duniani,
Niwale wanaoishi maisha yakutumia hewa ya viyoyozi kwa 85% katika maisha yao yote.

Nakwataarifa yko %kubwa yawatumia viyoyozi usizani niwazima kiafya , viyoyozi nivibaya kiafya, unashauli kuvitumia inapobidi, sasa waswahili ndo ikawa ndo hewa yao, kiasi akitoka ofsini anajihisi km alikuwa kazimia.

Kwahiyo km uwezo wako ni mdogo kuchangia huu uzi soma upitilize mkuu. Vingine vipo juu ya uwezo wako.
 
Jibu dogo sana
The level of ignorance you have!!!!

Hebu kaa kwenye gari ikiwa mchana jua kali pandisha vioo, subiria hewa inayochujwa na majani ya miti au mawimbi ya maji ambayo Mungu alitupa.
, kaa kwagari jua limewaka then fungua madirisha. Madirisha yagari ndo maana yalitengenezwa kufungua na kufunga, ukitaka hewa fungua dirisha.
Ukiona vumbi au mvua funga washa AC. Mvua ikiisha navumbi likiisha shusha kioo.
Wa tz sisi ni mandia sana.
 
Shida ya wa tz nikutaka kutafiti visivyotafitika.
1.ushahidi upo wazi kuwa nchi zenye ubaridi zimeathirika zaidi kuliko nchi zilizo ukanda wa joto.
Kwa hapa kwetu , wahanga wengi niwatu walioukanda wa mikoa ya baridi na watumiaji wakuu wa viyoyozi kuliko wanaokaa ukanda wa joto na wale wa uswahilini ambako hawana AC wala fen , wahanga wamaeneo yajoto wengi ni wazee na wagonjwa ambao kinga zao zipo chini.

Kuhusu joto la mwili nikwamba joto la binadamu hushushwa na maji ya baridi km huduma yakwanza hivyo unaonekana wewe ni mbumbumbu hujui lolote.
Lakini pia ukae ukijua covid-19 inashambulia mfumo wa hewa, na adui mkubwa wa mfumo wa hewa baridi, maana baridi likizidi huwezi kutoa jasho la baridi km joto linapozidi ambapo unaweza kutoa jasho jingi na hawa cov19 makazi yao makubwa ni kwenye ubaridi.
Matumizi makubwa ya viyoyozi nisawa na kupenda kufanya ngono sana bila kinga (ngono zembe) hiyo unajiweka ktk hatari zaidi ya kupata magonjwa hataree zaidi.
Ndo maana mpaka sasa waathirika wakubwa ktk nchi nyingi Africa na duniani,
Niwale wanaoishi maisha yakutumia hewa ya viyoyozi kwa 85% katika maisha yao yote.

Nakwataarifa yko %kubwa yawatumia viyoyozi usizani niwazima kiafya , viyoyozi nivibaya kiafya, unashauli kuvitumia inapobidi, sasa waswahili ndo ikawa ndo hewa yao, kiasi akitoka ofsini anajihisi km alikuwa kazimia.

Kwahiyo km uwezo wako ni mdogo kuchangia huu uzi soma upitilize mkuu. Vingine vipo juu ya uwezo wako.
Nina mashaka na elimu yako.
 
Walioziweka AC kwenye magari na kubuni AC za majengo waliona mbali sana.Acha kuwa na fikra finyu.
Sikia wewe☝️☝️sim card, matumizi ya AC za magari nipale inapolazim kufunga vioo vya gari kwa sababu zifuatazo.
1.mvua
2.vumbi
3.hewa chafu au sababu zingine ambazo zitalazimu kufunga vioo kwa mda. Sasa tatizo la binadam wakafaya kuwa nikaustaarabu flani .

Kuhusu majengo..... mtindo wa majengo haya ya vioo niwazi yameanzia nchi zenye ukanda wa baridi, na lengo kubwa nikupunguza nikutumia viyoyozi vya joto na baridi inapohitajika, sasa haya majengo yalipokuja huku kwetu pamoja na AC za magari waswahili wakafanya kuwa sehem ya maisha na ustaarabu frani hivi eti nyumba full kiyoyozi.
Ndio maana viyoyozi vyote vina baridi na joto, lakini kinachotumika sana hasa hapa TZ ni baridi, mtu hata km kunabaridi utakuta kawasha baridi kwa gari nawatu wanatetemeka au kazima kabisa badara yakuwasha hata joto.
Huo ni ushamba brooooo
 
Wa Tz mtu akiwa home ..full kiyoyozi
Akiingia kwa gari...full kiyoyozi
Kwa office.... full kiyoyozi
Nahiki kiyoyozi kumbuka ni saa 24/7 × maisha yake.

Akistaafu nyumba nayo full kiyoyozi, kadharika kwa gari yke napo hivyohivyo labda afulie.
Akifulia utaona madirisha ya nyumba yanafunguliwa.
Kwagari utaona anashusha vioo eti AC inamuumiza kifua kumbe kafuria hana pesa ya mafuta au kujaza gesi.

Hizi AC zilitengenezwa kwa matumizi ya mda pale inapohitajika, kwenye majumba watu walifikia hatua yakutoboa kuta kuweka AC lakini akienda kwao analala kwa banda la udongo likizo yote,
Akifika dar au dom ndo anaanza full viyoyozi.

Tumia AC inapobidi , iwe kwa gari au nyumbani , isiwe sehem ya maisha yko.

Mungu baada ya kumuumba binadamu akampulizia pumzi ya uhai, akaotesha bustani akamweka humo aishi na hakumpa mtungi wa AC.

Watu walishajiwekea zamani mitungi ya oxygen majumbani mwao hata kabla ya kuugua, ndo maana hata wakienda hosp. Wako week. Hawaponi.
Badidirika mwana jf. Acha mara moja. Tumia AC inapolazimu tu.
 
Watanzania wenzangu, nawashauri kwa wale wanaopendelea kutumia viyoyozi pahala pa kazi, nyumbani, na ndani ya magari, MUACHE MARA MOJA.

Tukumbuke kuwa ugonjwa wa covid-19 bado upo na tunahimizwa kujikinga nao, pamoja na hatua zote tunazoelekezwa kuchukua, nimeonelea niwape na hii ya viyoyozi kuachana nayo.

Huu ugonjwa unaathiri mifumo ya hewa kwa mujibu wa wataalam wetu wa wizara ya afya.

Na moja ya adui mkubwa wa mifumo ya hewa ni pamoja na viyoyozi, ndio maana waathirika wakubwa ni wazee na wagonjwa ambao tayari kinga zao zinakuwa zimeshuka.

Lakini pia, waathirika wengine wakubwa ni watumiaji wa viyoyozi kwa muda mrefu, kwa maana ya akiwa nyumbani ni viyoyozi maana nyumba ni ya vioo, akipanda gari full AC, akiwa ofisini ni full kiyoyozi. Kila sehemu ni full kiyoyozi, hii ni hatari ndg zangu.

Naomba kuwasilisha kwa mjadala zaidi.

by Usinipite mwokozi.
una umaskini kipato hadi wa fikra kiyoyozi kingekua kibaya ulaya yote wangekufa alafu ukifungua kioo kwenye gari mtu wa nje akipiga chafya si ndio chanzo cha kukuambukiza
 
Wa Tz mtu akiwa home ..full kiyoyozi
Akiingia kwa gari...full kiyoyozi
Kwa office.... full kiyoyozi
Nahiki kiyoyozi kumbuka ni saa 24/7 × maisha yake.

Akistaafu nyumba nayo full kiyoyozi, kadharika kwa gari yke napo hivyohivyo labda afulie.
Akifulia utaona madirisha ya nyumba yanafunguliwa.
Kwagari utaona anashusha vioo eti AC inamuumiza kifua kumbe kafuria hana pesa ya mafuta au kujaza gesi.

Hizi AC zilitengenezwa kwa matumizi ya mda pale inapohitajika, kwenye majumba watu walifikia hatua yakutoboa kuta kuweka AC lakini akienda kwao analala kwa banda la udongo likizo yote,
Akifika dar au dom ndo anaanza full viyoyozi.

Tumia AC inapobidi , iwe kwa gari au nyumbani , isiwe sehem ya maisha yko.

Mungu baada ya kumuumba binadamu akampulizia pumzi ya uhai, akaotesha bustani akamweka humo aishi na hakumpa mtungi wa AC.

Watu walishajiwekea zamani mitungi ya oxygen majumbani mwao hata kabla ya kuugua, ndo maana hata wakienda hosp. Wako week. Hawaponi.
Badidirika mwana jf. Acha mara moja. Tumia AC inapolazimu tu.
Kiyoyozi kingekua zambi mungu asingetupa akili ya kukitengeneza
 
una umaskini kipato hadi wa fikra kiyoyozi kingekua kibaya ulaya yote wangekufa alafu ukifungua kioo kwenye gari mtu wa nje akipiga chafya si ndio chanzo cha kukuambukiza
Haha! Ulaya wanaisha km faru ndani ya hifadhi zetu. Bado wewe.

Nyie mnaojidai mna pesa ndo covid-19 inawatafta, km imekusikia very soon utalala nayo mbele kwa mbele usipobadili mfumo wa AC km unauishi.
 
Haha! Ulaya wanaisha km faru ndani ya hifadhi zetu. Bado wewe.

Nyie mnaojidai mna pesa ndo covid-19 inawatafta, km imekusikia very soon utalala nayo mbele kwa mbele usipobadili mfumo wa AC km unauishi.
Unadhani kila ubunifu nikutoka kwa Mungu? Kasome vizuri maandiko ya dini yako.

Unadhani hata CONDOM ni Mungu kawapa hyo hakiri? Vingine tunajitakia mwenyewe.

Watu wangu wanaangamia kwa sababu ya kukoswa maarifa.

Kunahakiri na maarifa Dada. Ha ha ha 🤣🤣
 
Labda wewe utakuwa mhanga wa AC. Au unatumiwa na mabeberu.

Km wewe unajua basi nijibu swari hili.
kwanini wahanga wengi wa c.19 niwatu wenye madaraka ya juu , matajiri, nawatu wa kishua?
km upo dar, niambie hapo ubungo niwapiga debe au walala hoi wangapi wamekufa wakati ndo wapo mazingira hatarishi wakisaka mkate wao wakila siku?
niambie kule kijijini kwenu mwasinasi simiyu niwazee wangapi wanachomoka pamoja nakula vipolo bila kusahau tumbaku, gongo nk.?
niambie niwazee wangapi maeneo ya mjini wanaochomoka ambao wanaonekana ni wazee wakishua wazee wa nyumba za vioo na kula chips?

..................................................
Wahanga wengi ni wakishua, matajiri na wenye madaraka ya juu kwasababu lifestyle yao imewapelekea kupata magonjwa ya moyo, kisukari na mengine Kama hayo.
 
Ac kali ni hatari sana kwa afya hilo mbona linajulikana lakini wachangiaji wengi wanapinga
Unaweza kuwa mzima ukaingia kwenye ofisi zenye ac na baridi hapo hapo ukaaanza kupiga chafya na mafua yakaanza kwa ujuma colona ambayo ni homa ya mafua makali ikikupata + baridi kari ndugu kupona ni bahati sana ,

Punguzeni kiwango cha baridi kwenye setting za ac kama wewe ni mpenzi wa ac
 
Back
Top Bottom