Ushauri kwa Watanzania wanaotumia viyoyozi (air conditioners) kwenye magari, maofisini na majumbani

Feb 14, 2021
60
59
Watanzania wenzangu, nawashauri kwa wale wanaopendelea kutumia viyoyozi pahala pa kazi, nyumbani, na ndani ya magari, MUACHE MARA MOJA.

Tukumbuke kuwa ugonjwa wa covid-19 bado upo na tunahimizwa kujikinga nao, pamoja na hatua zote tunazoelekezwa kuchukua, nimeonelea niwape na hii ya viyoyozi kuachana nayo.

Huu ugonjwa unaathiri mifumo ya hewa kwa mujibu wa wataalam wetu wa wizara ya afya.

Na moja ya adui mkubwa wa mifumo ya hewa ni pamoja na viyoyozi, ndio maana waathirika wakubwa ni wazee na wagonjwa ambao tayari kinga zao zinakuwa zimeshuka.

Lakini pia, waathirika wengine wakubwa ni watumiaji wa viyoyozi kwa muda mrefu, kwa maana ya akiwa nyumbani ni viyoyozi maana nyumba ni ya vioo, akipanda gari full AC, akiwa ofisini ni full kiyoyozi. Kila sehemu ni full kiyoyozi, hii ni hatari ndg zangu.

Naomba kuwasilisha kwa mjadala zaidi.

by Usinipite mwokozi.
 
JF siku hz imepata members wanaokurupuka Kama mtoa mada (ndio thread ya kwanza kupost unaongeaga pumba hv)
 
AISE KWELI
HOFU NI UGONJWA MBAYA SANA

Nimepitia leo stand moja ya mabasi, vijana wote ambao nawajua ni full kujiachia, hawajui cha corona wala kipindupindu wapo wanagonga KITOKO saa24/7

Nikajiuliza kwanini wahanga wakubwa ni watu wakubwa? Watu wenye fedha? Wazee na wagonjwa?

Nikagundua ni yale maisha ya kutengeneza badala ya maisha tuliyoumbiwa.

Huwa najiuliza chanzo cha viyoyozi badala ya hewa inayochujwa na majani ya miti au mawimbi ya maji ambayo Mungu alitupa kuitumia na sisi tukatengeneza hewa yetu.

Hili ni pigo kubwa kwa watu wanaojiona wanapesa au wapo daraja la juu.

Walala hoi stand na masokoni wapo wanapiga kazi, mashambani wazee wetu wanakula viazi na viporo vya ugali wapo wanagonga tumbaku kama kawa.
 
JF siku hz imepata members wanaokurupuka Kama mtoa mada (ndio thread ya kwanza kupost unaongeaga pumba hv)
Labda wewe utakuwa mhanga wa AC. Au unatumiwa na mabeberu.

Km wewe unajua basi nijibu swari hili.
kwanini wahanga wengi wa c.19 niwatu wenye madaraka ya juu , matajiri, nawatu wa kishua?
km upo dar, niambie hapo ubungo niwapiga debe au walala hoi wangapi wamekufa wakati ndo wapo mazingira hatarishi wakisaka mkate wao wakila siku?
niambie kule kijijini kwenu mwasinasi simiyu niwazee wangapi wanachomoka pamoja nakula vipolo bila kusahau tumbaku, gongo nk.?
niambie niwazee wangapi maeneo ya mjini wanaochomoka ambao wanaonekana ni wazee wakishua wazee wa nyumba za vioo na kula chips?

..................................................
 
Labda wewe utakuwa mhanga wa AC. Au unatumiwa na mabeberu.

Km wewe unajua basi nijibu swari hili.
kwanini wahanga wengi wa c.19 niwatu wenye madaraka ya juu , matajiri, nawatu wa kishua?
km upo dar, niambie hapo ubungo niwapiga debe au walala hoi wangapi wamekufa wakati ndo wapo mazingira hatarishi wakisaka mkate wao wakila siku?
niambie kule kijijini kwenu mwasinasi simiyu niwazee wangapi wanachomoka pamoja nakula vipolo bila kusahau tumbaku, gongo nk.?
niambie niwazee wangapi maeneo ya mjini wanaochomoka ambao wanaonekana ni wazee wakishua wazee wa nyumba za vioo na kula chips?

..................................................
Wee kumbe haujielewi ee?
 
Watanzania wenzangu, nawashauri kwa wale wanaopendelea kutumi viyoyozi pahala pa kazi, nyumbani, na ndani ya magari, MUACHE MARA MOJA.

Tukumbuke kuwa ugonjwa wa covid-19 bado upo na tunahizwa kujikinga nao, pamoja na hatua zote tunazoelekezwa kuchukua, nimeonelea niwape na hii ya viyoyozi kuachana nayo.

Huu ugonjwa unaathiri mifumo ya hewa kwa mujibu wa wataalam wetu wa wizara ya afya.

Na moja ya adui mkubwa wa mifumo ya hewa ni pamoja na viyoyozi, ndio maana waathirika wakubwa ni wazee na wagonjwa ambao tayari kinga zao zinakuwa zimeshuka.

Lakini pia, waathirika wengine wakubwa niwatumiaji wa viyoyozi kwa mda mrefu, kwa maana ya akiwa nyumbani ni viyoyozi maana nyumba ni ya vioo, akipanda gari full AC, akiwa ofisini ni full kiyoyozi. Kila sehem ni full kiyoyozi, hii ni hatari ndg zangu.

Naomba kuwasilisha kwa mjadala zaidi.

by Usinipite mwokozi.

Vipi kuhusu feni Pangaboi?
 
Utamkuta mtu yuko pekee yake ndani ya gari
Kavaa barakoa full kiyoyozi

Ova
Wengine utakuta labda alikuwa kawapa lift watu wake wa karibu na kuwashusha mahali flani kabla wewe hujamuona na kaamua kuendelea kuvaa barakoa kuzuia kirusi in an event abiria mmojawapo kakiacha humo ndani

These days nimeacha “kuwajudge” watu especially pale ambapo sina uhakika kwa nini wanafanya yale wanayoyafanya
 
mada ya kipumbavu kabisa, vipi waishio kwenye sehem za baridi mathalan Mbeya ?
Kitu ambacho nahisi mtoa mada haukifahamu ni hivi:-
Mabadiliko ya joto la nje ya mwili haliusiani na la ndani ya mwili hata na baridi hivyo hivyo.
Mfano:- joto lako la ndani la mwili ni 30°c hata ukae jikoni au juani haiwezi badilisha na kupanda kufikia mpaka 37°c.

Hivyo basi kuhusanisha kati ya baridi la AC na baridi la ndani ya mwili ni ufinyu wa elimu.
Yaani hapa ni sawa na mgonjwa wa homa alafu useme ukamkogeshe maji ya barafu ili joto lipungue sio kweli.
Vipi kuhusu feni Pangaboi?
Nilifikiri utanijibu.
 
Huwa najiuriza chanzo cha viyoyozi badara ya hewa inayochujwa na majani ya miti au mawimbi ya maji ambayo mungu alitupa kuitumia nasisi tukatengeneza hewa yetu.
The level of ignorance you have!!!!

Hebu kaa kwenye gari ikiwa mchana jua kali pandisha vioo, subiria hewa inayochujwa na majani ya miti au mawimbi ya maji ambayo Mungu alitupa.
 
Back
Top Bottom