Kitila Mkumbo nina mashaka iwapo na ushauri wako, hata watu wa chini wanahitaji magari

Cashman

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
2,298
3,972
Huyu ni waziri msomi ambaye kama walivyo wasomi wengi nchini,hawezi kuwaza uhalisia.Anawaza vitu vya kwenye makaratasi.Anaamini nadharia kuliko uhalisia wa mambo.

Nimeona akitoa ushauri wake kwamba sera ya kuingiza magari yaliyotumika ipitiwe upya.Sababu alizotoa eti kwa sasa Tanzania inatengeneza magari mapya.Magari yenyewe yanayozungumzwa ni aina ya Tata na mengine ya India

Katika uzoefu wa kawaida,magari haya ya India ni magari ambayo hayadumu kabisa.Mfano ni gari aina ya mahindra.Haya magari kutoka India kwa sasa karibu yote ni mabovu. CCM waliwahi kuyaagiza kwa wingi.Wakati huo huo,kuna magari yaliingia kutoka Japan kabla ya hizo mahindra yapo hadi sasa mfano Suzuki Samrai,Mitsubishi pajero na hata kuna Toyota Carina zilizoingia kama used miaka ya 1990 zipo hadi leo barabarani.

Ninaingiwa na mashaka iwapo hawa wahindi hawajafanya yao kama ilivyo kawaida yao kutoa rushwa ili mambo yao yabebwe na serikali.Na wanaotumika ni wasomi hawa hawa.

Watu wa kipato cha kati wanayahitaji magari used.Kitendo cha kutaka kupitia sera ili kuzuia uingizwaji wa magari used ni kitendo cha kutokufikiri vizuri.

Hivi sasa unaona watu wa chini wanapata msaada mkubwa wa usafiri wa bajaji lakini serikali ndipo imeweka kodi kubwa ili kukomoa wanunuzi wa bajaji na hadi bajaji inauzwa bei karibu sawa na gari.

Tunawaomba wasomi.msijisahau kiasi hicho,hata kama mnajali matumbo yenu.

Si juzi juzi tu mmepitisha mkataba wa DP world? Mnataka asipate mzigo wa magari?

Au hamjatosheka tu na mlichopata huko hadi muendelee kuwakandamiza watu wa kipato cha kati na chini ili wasiinuke kama ninyi?
 
Huyu ni waziri msomi ambaye kama walivyo wasomi wengi nchini,hawezi kuwaza uhalisia.Anawaza vitu vya kwenye makaratasi.Anaamini nadharia kuliko uhalisia wa mambo.

Nimeona akitoa ushauri wake kwamba sera ya kuingiza magari yaliyotumika ipitiwe upya.Sababu alizotoa eti kwa sasa Tanzania inatengeneza magari mapya.Magari yenyewe yanayozungumzwa ni aina ya Tata na mengine ya India

Katika uzoefu wa kawaida,magari haya ya India ni magari ambayo hayadumu kabisa.Mfano ni gari aina ya mahindra.Haya magari kutoka India kwa sasa karibu yote ni mabovu. CCM waliwahi kuyaagiza kwa wingi.Wakati huo huo,kuna magari yaliingia kutoka Japan kabla ya hizo mahindra yapo hadi sasa mfano Suzuki Samrai,Mitsubishi pajero na hata kuna Toyota Carina zilizoingia kama used miaka ya 1990 zipo hadi leo barabarani.

Ninaingiwa na mashaka iwapo hawa wahindi hawajafanya yao kama ilivyo kawaida yao kutoa rushwa ili mambo yao yabebwe na serikali.Na wanaotumika ni wasomi hawa hawa.

Watu wa kipato cha kati wanayahitaji magari used.Kitendo cha kutaka kupitia sera ili kuzuia uingizwaji wa magari used ni kitendo cha kutokufikiri vizuri.

Hivi sasa unaona watu wa chini wanapata msaada mkubwa wa usafiri wa bajaji lakini serikali ndipo imeweka kodi kubwa ili kukomoa wanunuzi wa bajaji na hadi bajaji inauzwa bei karibu sawa na gari.

Tunawaomba wasomi.msijisahau kiasi hicho,hata kama mnajali matumbo yenu.

Si juzi juzi tu mmepitisha mkataba wa DP world? Mnataka asipate mzigo wa magari?

Au hamjatosheka tu na mlichopata huko hadi muendelee kuwakandamiza watu wa kipato cha kati na chini ili wasiinuke kama ninyi?
Aisee!
 
Badili FIKRA mkuu. Tutatumia magari used mpaka lini ? Chochea ubunifu, mbona wenzetu Ghana, Nigeria, Morocco, SA wanajiundia magari mapya mengine under license .
Ifike mahala tuachane na habari za kitumwa kutimia vitu vivyotupwa ulaya.
Wenzetu kenya wameanza hata kuzalisha vifaa vya electronics wenyewe wakati sisi bado tunawaza mitumba.
Wasomi huwaza tofauti na wasio wasomi.
KITILA MKUMBO ANADHIHIRISHA USOMI WAKE ILA MAAMUMA LAZIMA TUMZONGE hio ndio tabia ya mtu mweusi hapendi kuhama hatua.
Mpaka leo tunatumia jembe la mkono.
 
Bado nguo za mtumba yule jamaa alisema tutawapelekea ulaya ila alikuwa na hoja
Leo kuna usafiri wa umeme na mifumo sio migumu kama magari ya mafuta

Siku chuo kikuu kikiwatupa hao panya wa kila siku ooh wamenusa hiki na kile na kujikita kutengeneza vitu ambavyo tutapata wafadhili wa kuwekeza walicho buni basi labda tutawaza kupeleka mtumba ulaya la sivyo ongeza miaka 100 mingine ya umasikini wa akili
 
Nchi yenyewe haina magari tupo busy na hivi vibaby walker hawataki watu watumie Ford Raptor, Nissan NP 300 au Toyota GD 6 hizo ukizipata za kuanzia 2018 hata wajukuu watazitumia leo hii mtu mmoja anazungumzia kupiga marufuku gari used akitegemea V 8 za walipa kodi...
 
Kwani kazi ya CCM miaka yote ni nn.
Yaani maisha yako yawe nafuu ili ujiamini au!😄.
CCM ndo mchawi WA maendeleo hapa Nchini
 
Badili FIKRA mkuu. Tutatumia magari used mpaka lini ? Chochea ubunifu, mbona wenzetu Ghana, Nigeria, Morocco, SA wanajiundia magari mapya mengine under license .
Ifike mahala tuachane na habari za kitumwa kutimia vitu vivyotupwa ulaya.
Wenzetu kenya wameanza hata kuzalisha vifaa vya electronics wenyewe wakati sisi bado tunawaza mitumba.
Wasomi huwaza tofauti na wasio wasomi.
KITILA MKUMBO ANADHIHIRISHA USOMI WAKE ILA MAAMUMA LAZIMA TUMZONGE hio ndio tabia ya mtu mweusi hapendi kuhama hatua.
Mpaka leo tunatumia jembe la mkono.
I am in unshakable view that, mpaka sasa nchi ya Tanzania haina uwezo hata wa asilimia moja wa kuweza kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa za mtumba (ikiwamo na magari yaliyotumika) kutoka nje ya nchi. Hata uwezo wa kutengeneza spoku za baiskeli hatuna, Je, tutaweza kutengeneza/kuunda magari mapya sisi wenyewe???Uchumi wenyewe mzuri uko wapi hapa Tz wa kuweza kununua magari mapya??? Serikali yenyewe tu haina uwezo wa kununua mabehewa mapya na vichwa vipya vya treni ya mwendokasi, sembuse hawa raia walalahoi ??
 
Badili FIKRA mkuu. Tutatumia magari used mpaka lini ? Chochea ubunifu, mbona wenzetu Ghana, Nigeria, Morocco, SA wanajiundia magari mapya mengine under license .
Ifike mahala tuachane na habari za kitumwa kutimia vitu vivyotupwa ulaya.
Wenzetu kenya wameanza hata kuzalisha vifaa vya electronics wenyewe wakati sisi bado tunawaza mitumba.
Wasomi huwaza tofauti na wasio wasomi.
KITILA MKUMBO ANADHIHIRISHA USOMI WAKE ILA MAAMUMA LAZIMA TUMZONGE hio ndio tabia ya mtu mweusi hapendi kuhama hatua.
Mpaka leo tunatumia jembe la mkono.
Hueleweki kabisa mkuu unasema mpaka leo tunatumia jembe la mkono, na wakati huo huo unataka tuzuiliwe kununua magari yaliyotumika. Yaani nchi ambayo 75% wanaishi maisha ya kubangaiza, hata food security tu imetushinda. Wewe unaota kuzuia magari yaliyotumika.
Hao Nigeria magari wanayounga unga yamekataliwa kutumiwa na wabunge wao, wakidai si rafiki kwa barabara zao. Mtu mweusi ni mbinafsi sana, akipata anasahu kila kitu.
 
I am in unshakable view that, mpaka sasa nchi ya Tanzania haina uwezo hata wa asilimia moja wa kuweza kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa za mtumba (ikiwamo na magari yaliyotumika) kutoka nje ya nchi. Hata uwezo wa kutengeneza spoku za baiskeli hatuna, Je, tutaweza kutengeneza/kuunda magari mapya sisi wenyewe???Uchumi wenyewe mzuri uko wapi hapa Tz wa kuweza kununua magari mapya??? Serikali yenyewe tu haina uwezo wa kununua mabehewa mapya na vichwa vipya vya treni ya mwendokasi, sembuse hawa raia walalahoi ??
Inashangaza selikali imeacha kumsaidia KIPANYA Watanzania tuanze kupanda magari yake, leo amesahaulika hatujui ameishia wapi masikini wa mungu!
 
Tata Safari 2023.png
Tata Harrier 2023.png
Vitu vya kihindi TATA tunazo zikataa
 
Hueleweki kabisa mkuu unasema mpaka leo tunatumia jembe la mkono, na wakati huo huo unataka tuzuiliwe kununua magari yaliyotumika. Yaani nchi ambayo 75% wanaishi maisha ya kubangaiza, hata food security tu imetushinda. Wewe unaota kuzuia magari yaliyotumika.
Hao Nigeria magari wanayounga unga yamekataliwa kutumiwa na wabunge wao, wakidai si rafiki kwa barabara zao. Mtu mweusi ni mbinafsi sana, akipata anasahu kila kitu.
Wabunge wa Africa wengi ni wabinafsi na wapenda anasa. Gari ya leo ya Nigeria inalingana na gari ya Korea ya mwaka 70 kiubora. mbona hao wakorea waliyatumia hayo magari kwa uduni !
Naposema tunatumia jembe la mkono namasnisha hatuna teknolojia hivyo yatupasa kukuza teknolojia yetu, home grown technology.
Kiwanda cha ndani kinatakiwa kiungwe mkono ili tukuze uzalishaji wa ndani.
Marekani yenyewe imepiga BAN vifaa vya China ili visiue uchumi wao. Vifaa vya China ni bei rahisi hivyo ni kimbilio ka walala hoi wakati huo vinaua uchumi.
Waziri anatakiwa aungwe mkono ili tuwe na made in TANZANIA.
TBS ndio chombo pekee kinacho grade ubora sio mbunge.
Nimekwambia pale juu badili fikra.
Hakuna kitu pekee anachohitaji kubadili mtu mweusi zaidi ya FIKRA Baadhi ya waafrika weenzetu wameisha anza kubadili fikra wewe bado unawaza kutegemea wajspan na wachina, mpaka lini ?
Kenya hepo wamesnza gafi hadi SEMICONDUCTOR industry, hio ni mwanxo mzuri tukibaki na mawazo kama ya kwako ya kui giza vitu vilivyotumika turaachwa hadi na waafrika wenzetu.
Workshop yoyote ile inayoletwa home. Iungwe mkono. Wenzetu SA wapo mbali kwa uundaji wa magari na ni under license.
Kinachokusumbua ni kasumba. Umerithiswa kasumba ya kutawaliwa sio kutawala.
Tunaweza kuchechemua kila kitu kama tukiamua. kama nchi bado ina watu wengi kama wewe ni wazi hatutafika popote.
Tutaendelea kudumaa tu kiuchumu kutegemea wazungu, wachina nk.
 
I am in unshakable view that, mpaka sasa nchi ya Tanzania haina uwezo hata wa asilimia moja wa kuweza kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa za mtumba (ikiwamo na magari yaliyotumika) kutoka nje ya nchi. Hata uwezo wa kutengeneza spoku za baiskeli hatuna, Je, tutaweza kutengeneza/kuunda magari mapya sisi wenyewe???Uchumi wenyewe mzuri uko wapi hapa Tz wa kuweza kununua magari mapya??? Serikali yenyewe tu haina uwezo wa kununua mabehewa mapya na vichwa vipya vya treni ya mwendokasi, sembuse hawa raia walalahoi ??
Kadiri ya mtoa mada nwusho wa habari yake.
Nimeona akitoa ushauri wake kwamba sera ya kuingiza magari yaliyotumika ipitiwe upya.Sababu alizotoa eti kwa sasa Tanzania inatengeneza magari mapya.Magari yenyewe yanayozungumzwa ni aina ya Tata na mengine ya India
Kama yanazalishwa hapa TUMUUNGE MKONO WAZIRI. Car manufacturing si kitu kudogo. Wanafunzi wetu wataenda kujifunza uundaji wa magari unavyofanyika.
SIWASHANGAII WA TZ kupinga na kubeza vitu ambavyo hamviwezi.
Mlipinga mabasi ya wachina YOU TONG, MKAPINGA BODA BODA, MKAPINGA MALORY YA HOWO, MJAPINGA COSTA ZA MCHINA 'POPO'.
CHA AJABU HAYO NDIO MAGARI YANAYOTAWALA BARA BARA ZA TANZANIA, America kusini, Australia na Asia.
You Tong yapo top 5 most sold car in the world. Kwa hio wale wote waliokuwa wanapinga leo SURA ZIMEWASHUKA..
TATA ni gari iliotumika TZ kwa miaka mingi sana. Kama picha za juu hapo TATA wame modernize gari. zao.
TATA ni one of the BIG car manufacturer in the world.
Kwa taarifa yako TATA ana ushirikiano na makampuni ya magari ya ulaya. Nenda u Google ujifunze zaidi.
 
Kuiacha CCM iendele nchi itatusababishia matstizo ya kuishi nchi kwetu. Walilets uhuru imetoshs.haesna muijiza mwingine
 
Kadiri ya mtoa mada nwusho wa habari yake.

Kama yabazalishwa gapa TUMUUNGE MKONO WAZIRI. Car manufacturing si kitu kudogo. Wanafubzi wetu wataenda kujifunza uundaji wa magari unavyofanyika.
SIWASHANGSI WA TZ kupinga na kubeza vitu ambavuo hamviwezi.
Mlipinga mabasi ta wachina TOU TONG, MJSPINFA BODA BODA, MJAPINFA MALORY YA HOWO, MJSPINGA COSTA ZA MCHINA 'POPO'.
CHA AHABU HAYO NDIO MAGARI YANAYOTAWALA BARA BARA ZA TANZANIA.
You yong opo yop 5 car most sold in the world. Jwa jio wale wote waliokuwa wabspinga leo SURA ZIMEWASHUKA..
TATA ni gari iliotumika TZ kwa miaka mingi sana. Kama picga za juu hapo TATA wame modernize gari. zao.
TATA ni one of the BIG csr manufactuti f in the world.
Kwa taarifa yako TATA ana ushirikiano ba majampuni ya magari ya ulaya. Nenda u Google ujifunze zaidi.
Nchi pekee ya Afrika yenye uwezo wa kupiga marufuku uingizaji wa magari ya kawaida ya mtumba kutoka nchi nyigine ni Afrika ya Kusini pekee kwa sababu Wana viwanda vyao vya kutemgeneza/kuunda magari mapya wao wenyewe. Magari yao mapya yanasafirishwa nje ya nchi yao kwenda kuuzwa.
 
Huyu ni waziri msomi ambaye kama walivyo wasomi wengi nchini,hawezi kuwaza uhalisia.Anawaza vitu vya kwenye makaratasi.Anaamini nadharia kuliko uhalisia wa mambo.

Nimeona akitoa ushauri wake kwamba sera ya kuingiza magari yaliyotumika ipitiwe upya.Sababu alizotoa eti kwa sasa Tanzania inatengeneza magari mapya.Magari yenyewe yanayozungumzwa ni aina ya Tata na mengine ya India

Katika uzoefu wa kawaida,magari haya ya India ni magari ambayo hayadumu kabisa.Mfano ni gari aina ya mahindra.Haya magari kutoka India kwa sasa karibu yote ni mabovu. CCM waliwahi kuyaagiza kwa wingi.Wakati huo huo,kuna magari yaliingia kutoka Japan kabla ya hizo mahindra yapo hadi sasa mfano Suzuki Samrai,Mitsubishi pajero na hata kuna Toyota Carina zilizoingia kama used miaka ya 1990 zipo hadi leo barabarani.

Ninaingiwa na mashaka iwapo hawa wahindi hawajafanya yao kama ilivyo kawaida yao kutoa rushwa ili mambo yao yabebwe na serikali.Na wanaotumika ni wasomi hawa hawa.

Watu wa kipato cha kati wanayahitaji magari used.Kitendo cha kutaka kupitia sera ili kuzuia uingizwaji wa magari used ni kitendo cha kutokufikiri vizuri.

Hivi sasa unaona watu wa chini wanapata msaada mkubwa wa usafiri wa bajaji lakini serikali ndipo imeweka kodi kubwa ili kukomoa wanunuzi wa bajaji na hadi bajaji inauzwa bei karibu sawa na gari.

Tunawaomba wasomi.msijisahau kiasi hicho,hata kama mnajali matumbo yenu.

Si juzi juzi tu mmepitisha mkataba wa DP world? Mnataka asipate mzigo wa magari?

Au hamjatosheka tu na mlichopata huko hadi muendelee kuwakandamiza watu wa kipato cha kati na chini ili wasiinuke kama ninyi?
Hawana uwezo wa kufikiri kiuhalisia. ... Usomi kwao ni lundo la vyeti ! Ubongo mweupe hasa !!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom