julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,608
- 3,402
Hii wala haihitaji waje viongozi wa ngazi za juu. Mnatesa watu, mnajaza magari inapofikia zamu ya kuingia watu wanaingia kama tundu la sindano, sio sawa.
Hili panton ni dogo ilishashauriwa kwa vile ni dogo mstari mmoja usiingie gari. Sasa wao SUMA wanajaza magari mistari yote na watu wanajazana joto watoto wadogo wanaumia kwenye jua.
Mnaingia kwenye panton adhabu. Kumbuka na wageni pia wanatumia kivuko hii italeta picha gani?.
Kwanini mnajaza magari kwenye panton? Dereva leo anapiga kelele hashushi mtu au kwa vile yeye anakaa juu kule anakula upepo.
Hili panton ni dogo ilishashauriwa kwa vile ni dogo mstari mmoja usiingie gari. Sasa wao SUMA wanajaza magari mistari yote na watu wanajazana joto watoto wadogo wanaumia kwenye jua.
Mnaingia kwenye panton adhabu. Kumbuka na wageni pia wanatumia kivuko hii italeta picha gani?.
Kwanini mnajaza magari kwenye panton? Dereva leo anapiga kelele hashushi mtu au kwa vile yeye anakaa juu kule anakula upepo.