Ila tukumbuke mapenz yana run dunia aiseee!!
Hakunaga ushauri wala udokta kwenye mapenzi wewe!!
Usisahau na pesa mkuu
KWA HIZI TAKWIMU HATA USILALAMIKE miss chagga(NUMBERS DONT LIE)
Top Areas Of Posting
Mahusiano, mapenzi, urafiki -5,586
Love Connect -173
Ujasiriamali-10
Jukwaa La Biashara na Uchumi-7
NDG Mheshimiwa Spika Nachelea kuunga mkono hoja...
toka huko be creative hayo nimeshaambiwa nataka jipya
Hawa ni pacha!!teh teh
I plan to buy facebook in the future and also to have twins with you
Emb miss chaga tuanze sasa..Nenda jukwaa la siasa uanzishe mada uone tunavyofunguka (kama utaweza lakini)...And for your informations guys uliowaongelea hapo most of them hawapo jf...trust me..Ila siku ukibahatika kukutana na mimi nahisi utakuwa umemalizia mbali kiu yako...karibu bibie ila kikwazo ni kwamba unauwezakano mkubwa wa kuwa dada yangu..Emb tujiongeze pm
Miss chagga sorry bana ww si boya nafuta kauli...ila yaani mm nachomaanisha i love u, baby umeumbika, sijawahi ona kama wewe...hizo lazima ziwepo..lkn siku za kwanza za mapenzi(penzi)...sidhani km siku za kwanza kwanza mtu ataanza kuzungumzia lissu anavyokausha magamba bungeni, au man u na moyes wanavyokuwa wa saba kila siku washinde wafungwe, mtu aongelee viwanjwa vinavyouzwa kijichi...lkn kwenye mwendelezo i love u hukauka. Na mambo ya msingi yanaanza..hata message zinaanzaga kuwa kavu kwenye mwendelezo..sasa nachoshangaa hamnaga mwendelezo, au kila siku mnaanza/ unaanza upya(penzi jipya)..!Kumbe boya tu malizia mkuuuu.... sasa si kwamba natongozwa kila siku sipo kiivyo ila lengo langu anayekutongoza yukoje anafocus nini that all
ok right awayOoooih golden chance hizi kweeuuupe
Pm pls
Miss chagga sorry bana ww si boya nafuta kauli...ila yaani mm nachomaanisha i love u, baby umeumbika, sijawahi ona kama wewe...hizo lazima ziwepo..lkn siku za kwanza za mapenzi(penzi)...sidhani km siku za kwanza kwanza mtu ataanza kuzungumzia lissu anavyokausha magamba bungeni, au man u na moyes wanavyokuwa wa saba kila siku washinde wafungwe, mtu aongelee viwanjwa vinavyouzwa kijichi...lkn kwenye mwendelezo i love u hukauka. Na mambo ya msingi yanaanza..hata message zinaanzaga kuwa kavu kwenye mwendelezo..sasa nachoshangaa hamnaga mwendelezo, au kila siku mnaanza/ unaanza upya(penzi jipya)..!
We Vikki kuwa mapenzi yana percentage kubwa sana katika maisha ya binadamu? Ndo maana tuko ivo
Hahaaaa nominal per capita GDP ya Marekani na China.....ndo ukakimbia kabisa ule mjadala.
Bado :usa2: iko juu samna.
kwi kwiiiiiiiiiii
best hakikisha na curve mnachora kabisa, coz uchumi hauendi bila hayo makitu.
Wewe huyu!!!! Hujatendea haki ukweli