mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,678
- 1,278
mmmmh mbona umeshupalia sana uchumi?haa haa haa wanawake wamjini kibokoooo
Miss chagga anywayz sijui unakutana na watu wa aina gani..siwezi sema sana..ila mapenzi siku hizi naona ni magumu sana na yana aina nyingi..Ha ha ha mkuu umenifurahisha... na mi sina maana kwamba usiongelee penzi ongea lakini si tunakaa masaa mawili mwanzo mwisho kinisifia na kuniambia i love huu ni ujinga... changanya mambo ukiona kitu au kusikia discuss na mi si akili yako inawaza nitamvua lini pichu miss chagga
KWA HIZI TAKWIMU HATA USILALAMIKE miss chagga(NUMBERS DONT LIE)
Top Areas Of Posting
Mahusiano, mapenzi, urafiki -5,586
Love Connect -173
Ujasiriamali-10
Jukwaa La Biashara na Uchumi-7
NDG Mheshimiwa Spika Nachelea kuunga mkono hoja...
Nipo nje na karandinga na maji ya kuwasha
Ngumi zikianza tu nakuja kukusaidia
Hahahaha wewe mchokozi
Miss chagga anywayz sijui unakutana na watu wa aina gani..siwezi sema sana..ila mapenzi siku hizi naona ni magumu sana na yana aina nyingi..
mmmmh mbona umeshupalia sana uchumi?haa haa haa wanawake wamjini kibokoooo
Hebu nikumbushe..tumewahi chat?
Hivi watu wanatongoza hadi leo?
Kuna mijanaume bwana ni janga la kitaifa.
They look so smart but their minds are so empty.
Hawanaga cha kuongelea.
Akishika topic ni hiyo hiyo.
Janga la kitaifa mpaka nimeshindwa janga la kitaifa linaitwaje in English.
Nisije sema wonder of the nation. lols. hahaaaa
hapo tutaelewana sasa mwanaume unakuja kunilamba mikono huku ukiniambia i love u i hate that aisee
We ndo wa kwanza kumsikia ukisema hutaki kuch kuch hota hai....!Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba
Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.
Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?
All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH
Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.
Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.
Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.
Ndio uchawi Wako?
Ndio uchawi Wako?
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba
Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.
Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?
All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH
Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.
Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.
Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.
Kabisaa..upo?
We ndo wa kwanza kumsikia ukisema hutaki kuch kuch hota hai....!
Kwa experience yangu wanawake ndo wanaongoza kuongea vitu vya kufikirika na vyakuigwa toka ng'ambo such as love relations, responsibilities za mpenzi ambazo hazina tija kichwa wala miguu na ziso-apply katika life yetu ya kibongo!
Kifupi huwa mnabore katika maongezi kwa asilimia 90 mpaka mtu una dought kama mpenzi aliwahi kuwa shuleni!
Embu kuwa muazi kwenye uchumi unataka kusikia nini? his financial power or position, or how he is going to finance your problems(rent, shoping, family problems back in the village) or country's economy or world's economy au kuhusu uchumi wa mwanaume mwenzake? like ohho Jamaaa ana hela yule!
Kwenye utamaduni unatakakusikia nini? Utamaduni wa familia yetu, tanzania, my chagga tribe? AU kabila gani hujui utamaduni wake ambalo limejichanganya na wengine?
Kwenye siasa unataka kusikia nini? Zkk kakataa kuhama chadema? Ko,mba atahamia msituni tukipitisha serikali tatu? Au serikali itapunguza bei ya umeme pindi ambapo bomba la gas litakamilika ambalo halijulikani ni lini lita kamilika may be 500 yrs?
NB; You first appearance and expressions, attitudes matters a lot for a man to value you high!
A man always tries to do or say what he thinks a woman wants, if he does the opposite then he wants to have a briefly and a short run relationship with you or he simply wants to bore you to give him a space!
Wanaume ni wasiri by nature about what they do or have, if he acts to openly to you he simply play with you mind or bluffing ....it also happen to married couples!