Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

Ha ha ha mkuu umenifurahisha... na mi sina maana kwamba usiongelee penzi ongea lakini si tunakaa masaa mawili mwanzo mwisho kinisifia na kuniambia i love huu ni ujinga... changanya mambo ukiona kitu au kusikia discuss na mi si akili yako inawaza nitamvua lini pichu miss chagga
Miss chagga anywayz sijui unakutana na watu wa aina gani..siwezi sema sana..ila mapenzi siku hizi naona ni magumu sana na yana aina nyingi..
 
Miss chagga anywayz sijui unakutana na watu wa aina gani..siwezi sema sana..ila mapenzi siku hizi naona ni magumu sana na yana aina nyingi..

Ni kweli mkuu ila nilitaka nyie mpo huku jf at least muwe tofauti kidogo loh..
 
Kuna mijanaume bwana ni janga la kitaifa.

They look so smart but their minds are so empty.

Hawanaga cha kuongelea.

Akishika topic ni hiyo hiyo.

Janga la kitaifa mpaka nimeshindwa janga la kitaifa linaitwaje in English.

Nisije sema wonder of the nation. lols. hahaaaa


Kuna wengine hawana karma ya kuongea, so itakuwa vyema ukimuanza wewe!!!
 
hapo tutaelewana sasa mwanaume unakuja kunilamba mikono huku ukiniambia i love u i hate that aisee

Kama sio I love you tutumie neno gani?Kama unatongozwa hilo neno lzm litumike!

Kama mnaongelea uchumi;bongo movies au maandalizi ya Taifa Stars na Zimbabwe hapo mnaenda nje kabisa ya love affairs
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.
We ndo wa kwanza kumsikia ukisema hutaki kuch kuch hota hai....!

Kwa experience yangu wanawake ndo wanaongoza kuongea vitu vya kufikirika na vyakuigwa toka ng'ambo such as love relations, responsibilities za mpenzi ambazo hazina tija kichwa wala miguu na ziso-apply katika life yetu ya kibongo!

Kifupi huwa mnabore katika maongezi kwa asilimia 90 mpaka mtu una dought kama mpenzi aliwahi kuwa shuleni!

Embu kuwa muazi kwenye uchumi unataka kusikia nini? his financial power or position, or how he is going to finance your problems(rent, shoping, family problems back in the village) or country's economy or world's economy au kuhusu uchumi wa mwanaume mwenzake? like ohho Jamaaa ana hela yule!

Kwenye utamaduni unatakakusikia nini? Utamaduni wa familia yetu, tanzania, my chagga tribe? AU kabila gani hujui utamaduni wake ambalo limejichanganya na wengine?

Kwenye siasa unataka kusikia nini? Zkk kakataa kuhama chadema? Ko,mba atahamia msituni tukipitisha serikali tatu? Au serikali itapunguza bei ya umeme pindi ambapo bomba la gas litakamilika ambalo halijulikani ni lini lita kamilika may be 500 yrs?

NB; You first appearance and expressions, attitudes matters a lot for a man to value you high!

A man always tries to do or say what he thinks a woman wants, if he does the opposite then he wants to have a briefly and a short run relationship with you or he simply wants to bore you to give him a space!

Wanaume ni wasiri by nature about what they do or have, if he acts to openly to you he simply play with you mind or bluffing ....it also happen to married couples!
 
Miss chaga umesema kweli,nothing entices me than an intelligent man...yani raha sana kuongea nae ,anajua mengi...
 
Kaka we hutongozi unafanyaje?

hand_body_lotion.jpg
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.

Hao ndio wakina mama wa kichagga...
 
We ndo wa kwanza kumsikia ukisema hutaki kuch kuch hota hai....!

Kwa experience yangu wanawake ndo wanaongoza kuongea vitu vya kufikirika na vyakuigwa toka ng'ambo such as love relations, responsibilities za mpenzi ambazo hazina tija kichwa wala miguu na ziso-apply katika life yetu ya kibongo!

Kifupi huwa mnabore katika maongezi kwa asilimia 90 mpaka mtu una dought kama mpenzi aliwahi kuwa shuleni!

Embu kuwa muazi kwenye uchumi unataka kusikia nini? his financial power or position, or how he is going to finance your problems(rent, shoping, family problems back in the village) or country's economy or world's economy au kuhusu uchumi wa mwanaume mwenzake? like ohho Jamaaa ana hela yule!

Kwenye utamaduni unatakakusikia nini? Utamaduni wa familia yetu, tanzania, my chagga tribe? AU kabila gani hujui utamaduni wake ambalo limejichanganya na wengine?

Kwenye siasa unataka kusikia nini? Zkk kakataa kuhama chadema? Ko,mba atahamia msituni tukipitisha serikali tatu? Au serikali itapunguza bei ya umeme pindi ambapo bomba la gas litakamilika ambalo halijulikani ni lini lita kamilika may be 500 yrs?

NB; You first appearance and expressions, attitudes matters a lot for a man to value you high!

A man always tries to do or say what he thinks a woman wants, if he does the opposite then he wants to have a briefly and a short run relationship with you or he simply wants to bore you to give him a space!

Wanaume ni wasiri by nature about what they do or have, if he acts to openly to you he simply play with you mind or bluffing ....it also happen to married couples!

hivyo vipengele nimeweka tu kuonyesha kuna mengi ya kuongelea instead ya kuganda kwenye swala la mapenzi zaidi
 
Back
Top Bottom