Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

hand_body_lotion.jpg

ukipaka hiyo wanakuja wenyewe?
 
Kama sio I love you tutumie neno gani?Kama unatongozwa hilo neno lzm litumike!

Kama mnaongelea uchumi;bongo movies au maandalizi ya Taifa Stars na Zimbabwe hapo mnaenda nje kabisa ya love affairs

do action lakini si unaniimbia i love huku unanilamba mikono
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.

Somo kubwa Miss chaga
 
Lets be serious here, mtu umemuona na ukampenda, huwezi mwambia hisia zako? Na hizo hisia atakuelewa kama ni za kimapenzi ikiwa utaanza kuleta story za mporomoko wa uchumi duniani ataelewaje kuwa umemzimikia.

Nachokubaliana na wewe ni kuwa mtu akishakubali kuwa mpenzi wako mnatkiwa mpanue wigo wa mazungumzo, familia yenu baadaye, sometime entertainment, na kuna muda utamwambia the way alivyomzuri na how lucky you are to have her.
 
Miss chaga umesema kweli,nothing entices me than an intelligent man...yani raha sana kuongea nae ,anajua mengi...

Entinces man kama hana hela utamuita punguani na hata akikuuliza tu umevaa nn utamkatia simu ahahahaah
 
hivyo vipengele nimeweka tu kuonyesha kuna mengi ya kuongelea instead ya kuganda kwenye swala la mapenzi zaidi
I beleive they are there but my worries are on time,resources, how we value each other, what we want out of that relationship and mind set!
 
Lets be serious here, mtu umemuona na ukampenda, huwezi mwambia hisia zako? Na hizo hisia atakuelewa kama ni za kimapenzi ikiwa utaanza kuleta story za mporomoko wa uchumi duniani ataelewaje kuwa umemzimikia.

Nachokubaliana na wewe ni kuwa mtu akishakubali kuwa mpenzi wako mnatkiwa mpanue wigo wa mazungumzo, familia yenu baadaye, sometime entertainment, na kuna muda utamwambia the way alivyomzuri na how lucky you are to have her.

sasa mkuu unakuta mwingine swala mtongozo tayari lakini unakutana nae tena anaanza nakupenda, mtot mzuri, unakalio kubwa wakati mimi ninaumbo la kichaga kalio ni mtihani ... hapo sasa ndo napo pata hasira
 
Back
Top Bottom