Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

May be you are not interested in him. Hivi, hujawahi sikia mtu anapenda ukimya wake?

yesu na maria nitakuwa chizi ndani kwa sababu nitaongea mwenyewe loh ,... kuongea ndo kunasaidia kujua mawazo ya mtu,,, mtu anayekaa kimya ni mbaya sana
 
wewe chezea vita tunakufungia kaburini ukiwa hai

images
 
let me help u its a national if not nation disaster,ila kama ukiona mtongazaji hana cha kuongea kwa nini usismsaidie kuanzisha topic ? kwa nini umsubirie yy ttu aanzishe maana kutongoza sio jambo jepesi sana.
Unakuta he keeps reverting to the same old topic.

Mi nina rule moja.If the first date didn't go well, well I ain't seeing his silly ass again.

A guy can only get just one shot.

He either makes the best out of it or he can scuttle.
 
Kuna wengine hawana karma ya kuongea, so itakuwa vyema ukimuanza wewe!!!

Kuamza mie sio issue, but how does it flow from there? Does he catch the flow and go along with it?
 
sasa wewe miss chagga unataka hasikwambie i love you bali aseme i hate you au unataka hasikwambie una umbo zuri una umbo baya dizaini ya bata?au maana sijakusoma kabisa
 
sasa wewe miss chagga unataka hasikwambie i love you bali aseme i hate you au unataka hasikwambie una umbo zuri una umbo baya dizaini ya bata?au maana sijakusoma kabisa

uwe na wide mind siyo kila saaa ooh i love u oooh unaumbo nzuri.... nipe hata issue za udalali mi nitafanya loh
 
sasa mkuu unakuta mwingine swala mtongozo tayari lakini unakutana nae tena anaanza nakupenda, mtot mzuri, unakalio kubwa wakati mimi ninaumbo la kichaga kalio ni mtihani ... hapo sasa ndo napo pata hasira


Inawezekana hajui timing, wapi akuambie hayo. Lakini hilo nakupenda nitakuambia till I die. Assume tupo romantic moment kwa bed, unataka tuanze discussion za katiba mpya? Hapo ni ooh baby u are sweet than the sweetness itself.
 
Inawezekana hajui timing, wapi akuambie hayo. Lakini hilo nakupenda nitakuambia till I die. Assume tupo romantic moment kwa bed, unataka tuanze discussion za katiba mpya? Hapo ni ooh baby u are sweet than the sweetness itself.

tukiwa kwa bed unaniambia baby pesa ipo kwenye droo ya katikati chini na CRDB password ni 9888 hapo mambo mswano ..joking ni kweli kutokujua now natakiwa kuongea nini ni tatizo kubwa sana
 
Back
Top Bottom