Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

Hapo ndo nnapokupendea miss,thanks sana! No need of I love you nyiiing,tumetamaniana tunagegedana tukipendana tunagandana,kithunguzaid

Hapo sawa mkuu nitakupa hadi uje utoe ushuhuda
 
Mpeleke pole pole atakuelewa tu. Kuna wengine ni slow motion sana but so sure!

Hahahaaa. Thanks hun. Umenifurahisha jinsi gani ulivyo muelewa na mtaratibu katika hili suala.

Am off the dating zone, married now so imebaki socializing tu and not dating.🙂
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.
ni kweli kabisa mamen wamekosa ubunifu kwenye hili swala....binafsi nikiwa na demu wangu sio everytime naongelea i love u,kwa kuwa mi ni rasterman na nifundi wa kucharaza gitaa unaweza kuta smtm napiga gita anaimba au naimba na mfundisha kupiga gita,na mpa teaching za kiraster na history,anajua spendi politics wala mpira
 
ni kweli kabisa mamen wamekosa ubunifu kwenye hili swala....binafsi nikiwa na demu wangu sio everytime naongelea i love u,kwa kuwa mi ni rasterman na nifundi wa kucharaza gitaa unaweza kuta smtm napiga gita anaimba au naimba na mfundisha kupiga gita,na mpa teaching za kiraster na history,anajua spendi politics wala mpira
hapo safi mapenzi yatakuwa matamu hapo loh... siyo i love kama wimbo wa taifa
 
Back
Top Bottom