Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 156
- 202
Hujui unalo lisema, jaribu kufikiria tena bila ya kuwa na jazba.Makamu wa rais miaka 6! Kama hakuwa na sauti na akanyamaza tu basi hafai. Ninyi wapiga zumari vipofu kweli kweli. Uonevu na dhuluma hamuoni?