Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 53
- 146
MAANDAMANO HAYANA TIJA KATIKA SIASA ZA SASA - (SIASA KAZI NA MAARIFA)
Na Comrade Ally Maftah
Moja kati ya jambo ambalo halitaungwa mkono na vijana wa kileo ni suala la kuandamana.
Kuandamana ni kukosa maadili, ufahamu, utambuzi, wa mambo katika hali ya siasa za sasa za ushindani wa hoja, na katika ulimwengu wa mitandao, katika ulimwengu wa ukweli na uwazi.
Kijana huna haja ya kuandamana, fursa za kupaza sauti yako ipo kubwa sana kwa kutumia mitandao ya kijamii, redio na TV, panga hoja zako vizuri ziwasilishe kwenye vyombo husika kuliko kujihusisha kwenye misongamano isiyo na lazima, kuna magonjwa ya mlipuko mtaambukizana, kuna majasho ya watu wenye mikosi, kuna kuvunjika miguu kutokana na presha za kukimbia kimbia barabarani
Wenzako wanaokuhimiza uandamane wakivunjika miguu wanaenda kutibiwa nje ya nchi, na wana watabibu wao, wanakuja kwenye hizo vurugu wakiwa wameshiba.
Acha kuandamana jitume kwenye kazi, tenda haki, ukigombea utashinda Tume yetu ya Uchaguzi ipo huru sana, Dr Samia anatulinda wote pasipo kujali itikadi za vyama vyetu
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu Mkoa CCM & Wazazi - Dar es Salaam
Na Comrade Ally Maftah
Moja kati ya jambo ambalo halitaungwa mkono na vijana wa kileo ni suala la kuandamana.
Kuandamana ni kukosa maadili, ufahamu, utambuzi, wa mambo katika hali ya siasa za sasa za ushindani wa hoja, na katika ulimwengu wa mitandao, katika ulimwengu wa ukweli na uwazi.
Kijana huna haja ya kuandamana, fursa za kupaza sauti yako ipo kubwa sana kwa kutumia mitandao ya kijamii, redio na TV, panga hoja zako vizuri ziwasilishe kwenye vyombo husika kuliko kujihusisha kwenye misongamano isiyo na lazima, kuna magonjwa ya mlipuko mtaambukizana, kuna majasho ya watu wenye mikosi, kuna kuvunjika miguu kutokana na presha za kukimbia kimbia barabarani
Wenzako wanaokuhimiza uandamane wakivunjika miguu wanaenda kutibiwa nje ya nchi, na wana watabibu wao, wanakuja kwenye hizo vurugu wakiwa wameshiba.
Acha kuandamana jitume kwenye kazi, tenda haki, ukigombea utashinda Tume yetu ya Uchaguzi ipo huru sana, Dr Samia anatulinda wote pasipo kujali itikadi za vyama vyetu
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu Mkoa CCM & Wazazi - Dar es Salaam