kwa wale walofanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) especially college of education kama una swali tupia hapa tukusaidie wenyeji wa ng'ox tupo guyz
Habari zenu jmn.. naombam msaada niko mwaka wa kwanza na nilikuwa nataka kuchange kozi niamie BCOM nimepata division two ya 8..ila nilisomea HGL na sikufaulu hesabu vizuri o level je kwa hapo udom watanikubalia?... :hail: